Wafanyakazi Kunufaika na Nyongeza Mpya ya Mishahara
Maelfu ya wafanyakazi nchini wanatarajiwa kunufaika baada ya serikali kuanza kutekeleza rasmi nyongeza ya mshahara wa chini iliyotangazwa wakati wa sherehe za Leba Dei mwaka huu. Chama cha Wafanyakazi nchini COTU kimekaribisha hatua hiyo baada ya Wizara ya Leba kuchapisha kwenye Gazeti Rasmi la Serikali nyongeza ya mshahara wa asilimia 12 kwa wafanyakazi wa kawaida…
