Skip to content

Ruto: Wanaogawa Wakenya Watawajibika

Rais William Ruto amewashutumu wakosoaji wake kwa kuchochea ubaguzi wa kikabila na chuki, akionya kuwa wale wanaowagawa Wakenya kwa misingi ya ukabila “watawajibika” kwa matendo yao, huku akianza ziara ya maendeleo ya siku tano katika eneo la Pwani mjini Mombasa. Akizungumza jijini Mombasa Jumatano, Ruto alisema juhudi za kuchochea mgawanyiko wa kikabila hazitafanikiwa, akihusisha hali…

Read More