Latest News

All
church
business
africa
health

Trending News

Kongamano la Roots Party jijini Nairobi 01
02
Viongozi wa Magharibi Wataka Nafasi ya Naibu Rais 2027
03
Gavana Nassir Aunga Mkono Ushirikiano ODM–UDA, Asema Ardhi Ndiyo Kiini cha Mageuzi
04
Ruto: Wanaogawa Wakenya Watawajibika

Popular

Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen athibitisha jumatano tarehe 27 kuwa siku ya Likizo ya Eid Al Adha
Kongamano la Roots Party jijini Nairobi
Bunge Lakanusha Madai ya Ushuru Mpya wa Ardhi
Viongozi wa Magharibi Wataka Nafasi ya Naibu Rais 2027

Latest News

Kongamano la Roots Party jijini Nairobi

Kingozi wa Roots Party profesa George Wajackoyah aliwaongoza wanachama wake kwenye kongamano la kitaifa la wajumbe (NDC) siku ya Jumamosi Mei 23, 2026, jijini Nairobi huku likiwavutia wajumbe kutoka kote nchini. Kwenye kongamano hilo kiongozi huyo aliweka wazi azma yake ya kuwani kiti cha urais kwenye uchaguzi mkuu ujao mwaka wa 2027 huku wajumbe wakitumia…

Read More

Mashabiki wa Asenali washerekea mjini Garissa baada ya ktwaa kombe la Epl baada ya miaka 22.

Makumi ya mashabiki wa kilabu ya Arsenal katika kaunti ya Garissa walijitokeza kwa wingi ili kusherehekea ushindi wa kilabu ya kuitwa kombe la Epl msimu huu. Wakizungumza mjini Garissa mshabiki hao wakiongozwa na Dickson Odhiambo waliisifia kilabu hiyo kwa kutwaa ubingwa huo, huku wengi wao wakisema kuwa kwa kipindi cha miaka 22 wamekuwa wakiisubiria ushindi…

Read More

Mfumo mpya wa Kuccps kubadilisha ufadhili wa vyuo vikuu

Kenya inajiandaa kwa mabadiliko makubwa katika mfumo wa ufadhili wa vyuo vikuu huku taifa likielekea katika utekelezaji wa mfumo wa elimu wa Competency-Based Education (CBE). Akizungumza katika mahojiano, mkurugenzi mkuu wa KUCCPS Dkt. Agnes Mercy Wahome alisema kuwa mfumo mpya wa udahili utaanzisha vigezo vipya vya upangaji wa wanafunzi vinavyoendana na mfumo wa tathmini wa…

Read More

Shirika la Msalaba Mwekundu Yatoa Misaada Kwa Waaathirika wa Mafuriko Garissa

Takriban familia 1,000 zilizoathiriwa na mafuriko ya hivi karibuni katika kaunti ya Garissa zimepokea msaada wa bidhaa zisizo za chakula kutoka Shirika la Kenya Red Cross. Msaada huo unalenga kupunguza mateso ya waathirika waliopo katika kambi za wakimbizi wa ndani huku wakisubiri maji kupungua ili waweze kurejea katika maisha yao ya kawaida. Waathirika hao wanatoka…

Read More

Ruto Aagiza Matatu Kuendelea Kutumia Grafiti Na Sanaa

Rais William Ruto, ameagiza Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) kuruhusu wahudumu wa matatu kuendelea kutumia michoro ya graffiti na sanaa kwenye magari ya uchukuzi wa umma. Akizungumza kutoka Ikulu ya Mombasa, Rais alisema serikali itahakikisha mazingira mazuri kwa waendeshaji wa matatu kuendelea kuonyesha ubunifu na sanaa kwenye magari yao huku wakizingatia…

Read More