Gavana Nassir Aunga Mkono Ushirikiano ODM–UDA, Asema Ardhi Ndiyo Kiini cha Mageuzi
Naibu Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) ambaye pia ni Gavana wa Mombasa,…
Kingozi wa Roots Party profesa George Wajackoyah aliwaongoza wanachama wake kwenye kongamano la kitaifa la wajumbe (NDC) siku ya Jumamosi Mei 23, 2026, jijini Nairobi huku likiwavutia wajumbe kutoka kote nchini. Kwenye kongamano hilo kiongozi huyo aliweka wazi azma yake ya kuwani kiti cha urais kwenye uchaguzi mkuu ujao mwaka wa 2027 huku wajumbe wakitumia…
Bunge la Kitaifa limefafanua kuwa taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kuanzishwa kwa ushuru mpya wa kila mwaka kwa ardhi kupitia Mswada wa Fedha wa 2026 ni za uongo na zinapotosha umma. Kupitia taarifa rasmi, Bunge limesema Mswada wa Fedha wa mwaka 2026 una vifungu 57 na hakuna kifungu chochote kinachohusu kuanzishwa kwa ushuru wa ardhi ya…
Viongozi kutoka eneo la Magharibi mwa Kenya wameongeza shinikizo wakitaka eneo hilo kupewa nafasi ya Naibu Rais katika mikakati ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 chini ya serikali ya Kenya Kwanza. Wito huo ulijitokeza wakati wa mkutano mkubwa wa viongozi uliofanyika Naivasha na kuhudhuriwa na Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula, Waziri wa Vyama…
Katika maeneo ya kaskazini mwa Kenya ambayo kwa muda mrefu yamekuwa yakihisi kutengwa na maendeleo ya kitaifa, sura mpya sasa inaanza kuonekana kwa ishara kubwa ya matumaini na ushirikishwaji. Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ipate uhuru mwaka 1963, sherehe za kitaifa za siku kuu ya Madaraka zitafanyika katika Kaunti ya Wajir mnamo Juni 1,…
Makumi ya mashabiki wa kilabu ya Arsenal katika kaunti ya Garissa walijitokeza kwa wingi ili kusherehekea ushindi wa kilabu ya kuitwa kombe la Epl msimu huu. Wakizungumza mjini Garissa mshabiki hao wakiongozwa na Dickson Odhiambo waliisifia kilabu hiyo kwa kutwaa ubingwa huo, huku wengi wao wakisema kuwa kwa kipindi cha miaka 22 wamekuwa wakiisubiria ushindi…
Huduma ya Polisi ya Kitaifa imeanza uchunguzi kuhusu uvunjaji wa usalama wakati Rais William Ruto alipokuwa akitoa hotuba ya hadhara Ganze, Kaunti ya Kilifi, jana Jumapili. Mwanaume mmoja aliweza kuvuka usalama wa Rais Ruto na kujiunga naye jukwaani wakati wa hotuba yake katika ibada ya shukrani kwa Katibu Mkuu wa Vijana (PS) Fikirini Jacobs. Hata…
Kenya inajiandaa kwa mabadiliko makubwa katika mfumo wa ufadhili wa vyuo vikuu huku taifa likielekea katika utekelezaji wa mfumo wa elimu wa Competency-Based Education (CBE). Akizungumza katika mahojiano, mkurugenzi mkuu wa KUCCPS Dkt. Agnes Mercy Wahome alisema kuwa mfumo mpya wa udahili utaanzisha vigezo vipya vya upangaji wa wanafunzi vinavyoendana na mfumo wa tathmini wa…
Takriban familia 1,000 zilizoathiriwa na mafuriko ya hivi karibuni katika kaunti ya Garissa zimepokea msaada wa bidhaa zisizo za chakula kutoka Shirika la Kenya Red Cross. Msaada huo unalenga kupunguza mateso ya waathirika waliopo katika kambi za wakimbizi wa ndani huku wakisubiri maji kupungua ili waweze kurejea katika maisha yao ya kawaida. Waathirika hao wanatoka…
Rais William Ruto, ameagiza Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) kuruhusu wahudumu wa matatu kuendelea kutumia michoro ya graffiti na sanaa kwenye magari ya uchukuzi wa umma. Akizungumza kutoka Ikulu ya Mombasa, Rais alisema serikali itahakikisha mazingira mazuri kwa waendeshaji wa matatu kuendelea kuonyesha ubunifu na sanaa kwenye magari yao huku wakizingatia…