Viongozi Walalamikia Kuongezeka kwa Makundi ya Wahuni Kisii
Wakazi wa Kaunti ya Kisii wanaitaka serikali kuimarisha usalama na kuchukua hatua kali dhidi ya wanaohusika na vurugu za kisiasa, kufuatia ongezeko la visa vya mashambulizi vinavyodaiwa kufanywa na makundi ya wahuni huku uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 ukikaribia. Wakazi hao wanasema matukio ya hivi karibuni yamezua hofu kuhusu hali ya usalama katika kaunti hiyo,…


