Mahindi ya Nchi Jirani Yawaumiza Wakulima
Wakulima wa mahindi nchini Kenya wanakabiliwa na changamoto ya wafanyabiashara wengi, kuagiza mahindi kutoka nje…
Mahakama Kuu imeizuia kwa muda serikali kuanzisha au kuendesha vituo vya karantini, kutenga au kutibu wagonjwa wa Ebola nchini chini ya makubaliano yoyote na Marekani au taifa lingine la kigeni. Mahakama pia imepiga marufuku kuingizwa nchini, kuhamishwa au kupokelewa kwa watu walioathiriwa au kuambukizwa Ebola hadi kesi hiyo itakaposikilizwa na kuamuliwa. Hatua hiyo ilichukuliwa baada…
Wakulima wa majani chai kutoka maeneo mbalimbali nchini wameibua wasiwasi mkubwa kuhusu ushuru wa asilimia 0.8 uliopendekezwa katika Mswada wa Majani Chai, wakisema hatua hiyo itaongeza mzigo kwa wakulima na kudhoofisha sekta hiyo muhimu ya uchumi. Akizungumza katika kaunti ya Kiambu, mwenyekiti wa kiwanda cha majani chai cha Kagwe, William Muroki Githumbi, alisema wakulima hawakuhusishwa…
Wakazi wa kijiji cha Hidabo kisiwani Lamu wameeleza hofu yao kuhusu athari za kiafya zinazodaiwa kusababishwa na moshi na harufu kali kutoka kwa tanuri ya kuchomea taka za hospitali kuu ya rufaa ya King Fahd. Kijiji hicho chenye zaidi ya wakazi 500 kinapakana na hospitali hiyo, huku wakazi wakisema moshi unaotoka kwenye mtambo huo umeanza…
Viongozi wakuu wa chama cha ODM Jumapili wanatarajiwa kukutana Kisumu katika mkutano mkubwa wa kisiasa unaolenga kutoa mwelekeo wa kisiasa wa jamii ya Waluo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Mkutano huo, uliopewa jina la ‘Azimio la Waluo’, unatazamwa kama moja ya mikutano muhimu zaidi katika historia ya siasa za Nyanza tangu kifo cha aliyekuwa…
Wakulima wa mahindi nchini Kenya wanakabiliwa na changamoto ya wafanyabiashara wengi, kuagiza mahindi kutoka nje ya nchi kufuatia kuongezeka kwa uagizaji wa mahindi ya bei nafuu kutoka mataifa ya COMESA, hali inayozua mjadala kuhusu mustakabali wa uzalishaji wa chakula nchini. Bei ya gunia la mahindi imeshuka kutoka takriban Shilingi 4,600 hadi karibu Shilingi 4,000 ndani…
Makundi ya kutetea haki za binadamu mjini Mombasa pamoja na viongozi wa kaunti ya Lamu, wameitaka serikali kuondoa mara moja amri ya kutotoka nje usiku iliyowekwa tangu mwaka 2017 kufuatia uamuzi wa mahakama uliositisha utekelezaji wake. Uamuzi huo ulitolewa Mei 21, 2026 na mahakama kuu ya Garsen, iliyosimamisha utekelezaji wa amri hiyo katika kaunti za…
Serikali ya Kenya imetoa hakikisho kwa wakenya kwamba wizara ya afya iko imara kuhakikisha wananchi wako salama dhidi ya maradhi ya Ebola ambayo yanaendelea kuripotiwa nchini Congo. Akizungumza wakati wa sherehe za Eid-al-Adha waziri wa afya nchini Aden Duale alisema kuwa raia wote wanaoingia nchini wanakaguliwa katika mipaka ya taifa hili ili kuhakiksiha kuna usalama…
Serikali imewahakikishia Wakenya kuwa mswada wa Fedha mwaka 2026 haujajumuisha baadhi ya ushuru unaodaiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikisema taarifa hizo ni za kupotosha na zenye nia ya kuzua hofu miongoni mwa wananchi. Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatano, msemaji wa serikali Isaac Mwaura alisema kuwa madai kuhusu ushuru mpya kwa nguo kuukuu maarufu…
Waislamu kote nchini leo waliungana na waumini wengine duniani kuadhimisha sikukuu ya Eid al-Adha kwa kuswali swala maalum za pamoja katika misikiti, viwanja vya wazi na maeneo maalum ya ibada katika miji na maeneo mbalimbali nchini. Sikukuu hiyo ya Kiislamu, inayojulikana pia kama sikukuu ya kuchinja, ni mojawapo ya tarehe muhimu zaidi katika kalenda ya…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo na Iran yanapaswa kujumuisha nchi zaidi kwenye Makubaliano ya Abraham, yaliyosimamiwa na Marekani. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo na Iran yanapaswa kujumuisha nchi zaidi kwenye Makubaliano ya Abraham, yaliyosimamiwa na Marekani kwa ajili ya kuimarisha uhusiano kati ya Israel…