Latest News

All
church
business
africa
health

Trending News

Ken Obura Ajitenga Na Odm, Awania Ugavana Kama Mgombeaji Huru 01
02
Kesi Ya Gachagua Yasubiri Uamuzi Wa Mahakama Leo
03
Kalonzo azindua jukwaa la kutumia katika uchaguzi ujao
04
Mahakama kutoa uamuzi leo dhidi ya kesi ya Gachagua.

Popular

Mamia Ya Mateka Wa Boko Haram Waachiwa Huru Nchini Nigeria
Familia Za Wanafunzi Wa Utumishi Bado Kusubiri Miili Ya Wapendwa Wao
Ken Obura Ajitenga Na Odm, Awania Ugavana Kama Mgombeaji Huru
Rais Ruto Aanza Ziara Ya Mataifa Ya Ulaya

Rais Ruto Aanza Ziara Ya Mataifa Ya Ulaya

Rais William Ruto ameondoka nchini kuelekea barani Ulaya kwa ziara rasmi inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya Kenya na mataifa ya Ulaya. Rais aliondoka Jumapili jioni kuelekea Ubelgiji, Norway na Finland. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu, ziara hiyo inalenga kushawishi uwekezaji zaidi nchini Kenya pamoja na kupanua masoko ya bidhaa za Kenya katika…

Read More

Kesi Ya Gachagua Yasubiri Uamuzi Wa Mahakama Leo

Macho ya Wakenya leo yanaelekezwa katika Mahakama Kuu ya Nairobi, ambapo uamuzi wa kesi inayopinga kuondolewa afisini kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua unatarajiwa kutolewa. Jopo la majaji watatu; Erick Ogola, Antony Mrima na Freda Mugambi, linatarajiwa kutoa uamuzi huo siku chache baada ya pande zote zinazohusika kukamilisha mawasilisho yao tarehe 22 mwezi uliopita. Uamuzi…

Read More

Mahakama kutoa uamuzi leo dhidi ya kesi ya Gachagua.

Majaji watatu Erick Ogola, Antony Mrima na Freda Mugambi, leo Jumatatu wanatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu kesi inayopinga kutimuliwa kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua. Hata hivyo, huku akisema ataheshimu uamuzi utakaotolewa na mahakama, kiongozi huyo wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), alidokeza kwamba atakata rufaa iwapo uamuzi huo utatolewa dhidi yake. Akizungumza…

Read More