Mahakama yasitisha mpango wa kituo cha Ebola Kenya.
Mahakama Kuu imeagiza Wizara ya Afya kufichua ndani ya siku saba maelezo yote yanayohusiana na mpango wa kuanzisha kituo cha karantini na matibabu ya Ebola kwa raia wa Marekani nchini Kenya. Mahakama imemtaka Waziri wa Afya, Aden Duale, kuwasilisha stakabadhi zote za makubaliano kati ya Kenya na Marekani kuhusu mpango huo, ikiwemo mikataba, mazungumzo na…


