Latest News

All
church
business
africa
health

Trending News

Ushindani wa Ugavana Taita Taveta Wapamba Moto 01
02
ODM Kujifunza Mfumo wa Uteuzi Afrika Kusini na Ghana
03
Ruto: Aeleza Sababu ya Kituo cha Ebola
04
Mawaziri wa Museveni Waanza Mchakato wa Uhakiki

Popular

Viongozi Walalamikia Kuongezeka kwa Makundi ya Wahuni Kisii
Wafanyakazi Kunufaika na Nyongeza Mpya ya Mishahara
Wakenya Waonywa Kuhusu Mzigo Mpya wa Ushuru na Deni
Visa vya mauaji na wizi vyazua hofu mjini Garissa.

Wakenya Waonywa Kuhusu Mzigo Mpya wa Ushuru na Deni

Wakenya wanakabiliwa na mzigo mkubwa zaidi wa kiuchumi iwapo mapendekezo ya bajeti ya mwaka wa kifedha 2026/27 yatapitishwa, kwa mujibu wa kiongozi wa Chama cha Democracy for the Citizens (DCP), Rigathi Gachagua. Akizungumza kuhusu bajeti ya shilingi trilioni 4.82 na Mswada wa Fedha 2026, Gachagua amesema hatua za kuongeza ushuru na kuendelea kukopa zitawaathiri zaidi…

Read More

Sudan Yaongoza Orodha ya Migogoro ya Wakimbizi Iliyopuuzwa

Sudan, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Colombia zimetajwa kuwa miongoni mwa migogoro ya wakimbizi iliyopuuzwa zaidi duniani, kulingana na Shirika la Norwegian Refugee Council. Shirika hilo linasema zaidi ya watu milioni tisa wameyakimbia makazi yao ndani ya Sudan tangu kuzuka kwa vita mwaka 2023, huku wengine milioni nne wakikimbilia mataifa jirani. Aidha, takriban watu…

Read More

Wakazi wa Garissa Waingiwa na Hofu Kutokana na Uhalifu

Wakazi wa Garissa wameeleza wasiwasi wao kufuatia kuongezeka kwa visa vya uhalifu vinavyotekelezwa na makundi ya vijana wenye silaha za jadi pamoja na baadhi ya waendesha bodaboda. Makundi hayo yanadaiwa kuendesha wizi wa kutumia nguvu, mashambulizi na hata kuweka vizuizi haramu usiku ili kuwatoza wakazi fedha. Matukio ya hivi karibuni yamewalazimu wafanyabiashara wengi kufunga biashara…

Read More

Afisa Mkuu wa Nairobi Akamatwa na Mamilioni ya Fedha

Sakata kubwa limeibuka baada ya Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi, EACC, kumkamata Afisa Mkuu wa Mipango ya Miji wa Kaunti ya Nairobi, Patrick Analo Akivaga. Katika operesheni iliyofanyika nyumbani kwake Syokimau, maafisa wa EACC walidai kupata zaidi ya shilingi milioni 65 taslimu pamoja na nyaraka mbalimbali za mali, hati za ardhi, magari na…

Read More