Latest News

All
church
business
africa
health

Trending News

Mawaziri wa Museveni Waanza Mchakato wa Uhakiki 01
02
Sifuna Aibuka Kama Sauti Mpya ya Siasa za Mulembe
03
ODM Yaandaa‘Azimio la Waluo’ Kuelekea Uchaguzi wa 2027
04
Kongamano la Roots Party jijini Nairobi

Popular

Mawaziri wa Museveni Waanza Mchakato wa Uhakiki
Sifuna Aibuka Kama Sauti Mpya ya Siasa za Mulembe
SHA Yajivunia Usajili wa Milioni 31.5
Ahmed Khalif Kuenziwa Kupitia Uwanja wa Wajir

SHA Yajivunia Usajili wa Milioni 31.5

Zaidi ya Wakenya milioni 31.5 wamejisajili chini ya Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), huku serikali ikisisitiza kuwa mpango huo unaendelea kupanua upatikanaji wa huduma za afya nchini. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Madaraka katika Kaunti ya Wajir, Rais William Ruto alisema kati ya waliojisajili, zaidi ya watu 800,000 wanatoka katika kaunti za…

Read More

Ahmed Khalif Kuenziwa Kupitia Uwanja wa Wajir

Uwanja mpya wa Wajir sasa utajulikana kama Ahmed Khalif Wajir Stadium baada ya Rais William Ruto kukubali ombi la viongozi wa eneo hilo la kumuenzi mwanasiasa mashuhuri marehemu Ahmed Mohamed Khalif. Hatua hiyo ilitangazwa wakati wa sherehe za Madaraka Day katika Kaunti ya Wajir, ambapo viongozi walieleza kuwa marehemu Khalif aliweka historia kwa kuwa mmoja…

Read More

Mahakama yasitisha mpango wa vituo vya Ebola nchini Kenya

Mahakama Kuu imeizuia kwa muda serikali kuanzisha au kuendesha vituo vya karantini, kutenga au kutibu wagonjwa wa Ebola nchini chini ya makubaliano yoyote na Marekani au taifa lingine la kigeni. Mahakama pia imepiga marufuku kuingizwa nchini, kuhamishwa au kupokelewa kwa watu walioathiriwa au kuambukizwa Ebola hadi kesi hiyo itakaposikilizwa na kuamuliwa. Hatua hiyo ilichukuliwa baada…

Read More

Wakulima wa Chai Walalamikia Ushuru Mpya wa Asilimia 0.8 

Wakulima wa majani chai kutoka maeneo mbalimbali nchini wameibua wasiwasi mkubwa kuhusu ushuru wa asilimia 0.8 uliopendekezwa katika Mswada wa Majani Chai, wakisema hatua hiyo itaongeza mzigo kwa wakulima na kudhoofisha sekta hiyo muhimu ya uchumi. Akizungumza katika kaunti ya Kiambu, mwenyekiti wa kiwanda cha majani chai cha Kagwe, William Muroki Githumbi, alisema wakulima hawakuhusishwa…

Read More

Mahindi ya Nchi Jirani Yawaumiza Wakulima

Wakulima wa mahindi nchini Kenya wanakabiliwa na changamoto ya wafanyabiashara wengi, kuagiza mahindi kutoka nje ya nchi kufuatia kuongezeka kwa uagizaji wa mahindi ya bei nafuu kutoka mataifa ya COMESA, hali inayozua mjadala kuhusu mustakabali wa uzalishaji wa chakula nchini. Bei ya gunia la mahindi imeshuka kutoka takriban Shilingi 4,600 hadi karibu Shilingi 4,000 ndani…

Read More