Bunge Lakanusha Madai ya Ushuru Mpya wa Ardhi
Bunge la Kitaifa limefafanua kuwa taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kuanzishwa kwa ushuru mpya wa kila…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo na Iran yanapaswa kujumuisha nchi zaidi kwenye Makubaliano ya Abraham, yaliyosimamiwa na Marekani. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo na Iran yanapaswa kujumuisha nchi zaidi kwenye Makubaliano ya Abraham, yaliyosimamiwa na Marekani kwa ajili ya kuimarisha uhusiano kati ya Israel…
Platform for African Democrats,ambalo ni jukwaa la kisiasa linalowaleta pamoja viongozi wa upinzani, wanaharakati na vyama mbalimbali vya kisiasa barani Afrika, limekosoa matumizi ya mifumo ya mahakama dhidi ya viongozi wa upinzani katika baadhi ya nchi za Afrika Mashariki. Jukwaa hilo, lilitaja kesi zinazowakabili Tundu Lissu wa nchini Tanzania, Kizza Besigye wa nchini Uganda na…
Bunge la Kitaifa linaanza vikao vya kawaida mchana huu na Wabunge wamepangiwa kuanza kuzingatia shughuli muhimu za bajeti na kisheria zinazotarajiwa kuunda mwelekeo wa kifedha na sera za nchi kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Kipengele cha juu kwenye ajenda kitakuwa mjadala juu ya Matumizi ya Kila Mwaka ya Serikali ya Kitaifa kwa Mwaka wa Fedha…
Martha Koome amewataka mawakili wapya walioapishwa kutumia taaluma yao kama chombo cha kuimarisha haki, kulinda Katiba na kuwahudumia Wakenya wote bila ubaguzi, hususan watu wasiokuwa na uwezo wa kifedha na wanaoishi katika maeneo yaliyotengwa. Akizungumza Jumatatu wakati wa hafla ya kuwaapisha mawakili hao wapya, Koome alisema kuwa jukumu la wakili halipaswi kuishia tu mahakamani bali…
Hakimu Mkuu Martha Koome amewaomba mawakili wapya walioteuliwa kutumia sheria kama chombo cha mabadiliko ya kijamii na kusaidia kufunga pengo la haki linalowakumba Wakenya walio hatarini na wasio na huduma za kutosha. Akizungumza wakati wa sherehe ya kuteuliwa kwa mawakili wapya kwenye Orodha ya Mawakili katika Mahakama ya Milimani, Koome aliwaomba mawakili kuzingatia uadilifu, kukumbatia…
Serikali ya Sudan Kusini imebadili msimamo wake na kuachana na mpango wa kuondoa vifungu muhimu kutoka kwa Makubaliano ya Amani ya mwaka 2018. Hatua hiyo imekuja baada ya shinikizo kutoka kwa mashirika ya kiraia na mabalozi mbalimbali wa kigeni, ambao walieleza wasiwasi wao kuhusu uwezekano wa kuyumba kwa mchakato wa amani na taasisi za mpito…
Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza, Musalia Mudavadi, amewataka Wakenya kufuata kikamilifu maelekezo ya Wizara ya Afya kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Amesema ingawa Kenya bado haijathibitisha kesi yoyote ya Ebola, wananchi wanapaswa kuwa makini na kuchukua tahadhari kama ilivyokuwa wakati wa COVID-19 ili kulinda taifa…
Aliyekuwa Jaji Mkuu, Bw. David Maraga, ameonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la watoto wanaopotea, kutekwa nyara na kusafirishwa kiharamu nchini Kenya, akisema hali hiyo imefikia kiwango cha kutisha kinachohitaji hatua za haraka za kitaifa. Katika taarifa yake, Maraga alinukuu takwimu kutoka mfumo wa Child Protection Information Management System (ICPIMS) zikionyesha kuwa kati ya Januari 2025…
Mwalimu mmoja Jumatatu alifikishwa katika mahakama ya Marsabit kwa madai ya kumnajisi mwanafunzi wa umri wa miaka 14. Denis Kipkoech Chepkwony mwenye umri wa miaka 29 alikabiliwa na shataka la kumnajisi mwanafunzi huyo kati ya tarehe 5 na tarehe 18 mwezi April mwaka huu wa 2026 katika eneo la Kargi, kaunti ya Marsabit. Mshtakiwa pia anakabiliwa…