Latest News

All
church
business
africa
health

Trending News

ODM Yaandaa‘Azimio la Waluo’ Kuelekea Uchaguzi wa 2027 01
02
Kongamano la Roots Party jijini Nairobi
03
Viongozi wa Magharibi Wataka Nafasi ya Naibu Rais 2027
04
Gavana Nassir Aunga Mkono Ushirikiano ODM–UDA, Asema Ardhi Ndiyo Kiini cha Mageuzi

Popular

Mahakama yasitisha mpango wa vituo vya Ebola nchini Kenya
Wakulima wa Chai Walalamikia Ushuru Mpya wa Asilimia 0.8 
Wakazi wa Hidabo Lamu Wahofia Athari za Moshi wa Taka za Hospitali 
ODM Yaandaa‘Azimio la Waluo’ Kuelekea Uchaguzi wa 2027

Mahakama yasitisha mpango wa vituo vya Ebola nchini Kenya

Mahakama Kuu imeizuia kwa muda serikali kuanzisha au kuendesha vituo vya karantini, kutenga au kutibu wagonjwa wa Ebola nchini chini ya makubaliano yoyote na Marekani au taifa lingine la kigeni. Mahakama pia imepiga marufuku kuingizwa nchini, kuhamishwa au kupokelewa kwa watu walioathiriwa au kuambukizwa Ebola hadi kesi hiyo itakaposikilizwa na kuamuliwa. Hatua hiyo ilichukuliwa baada…

Read More

Wakulima wa Chai Walalamikia Ushuru Mpya wa Asilimia 0.8 

Wakulima wa majani chai kutoka maeneo mbalimbali nchini wameibua wasiwasi mkubwa kuhusu ushuru wa asilimia 0.8 uliopendekezwa katika Mswada wa Majani Chai, wakisema hatua hiyo itaongeza mzigo kwa wakulima na kudhoofisha sekta hiyo muhimu ya uchumi. Akizungumza katika kaunti ya Kiambu, mwenyekiti wa kiwanda cha majani chai cha Kagwe, William Muroki Githumbi, alisema wakulima hawakuhusishwa…

Read More

Mahindi ya Nchi Jirani Yawaumiza Wakulima

Wakulima wa mahindi nchini Kenya wanakabiliwa na changamoto ya wafanyabiashara wengi, kuagiza mahindi kutoka nje ya nchi kufuatia kuongezeka kwa uagizaji wa mahindi ya bei nafuu kutoka mataifa ya COMESA, hali inayozua mjadala kuhusu mustakabali wa uzalishaji wa chakula nchini. Bei ya gunia la mahindi imeshuka kutoka takriban Shilingi 4,600 hadi karibu Shilingi 4,000 ndani…

Read More

Mwaura: Wakenya wasome mswada wa fedha 2026

Serikali imewahakikishia Wakenya kuwa mswada wa Fedha mwaka 2026 haujajumuisha baadhi ya ushuru unaodaiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikisema taarifa hizo ni za kupotosha na zenye nia ya kuzua hofu miongoni mwa wananchi. Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatano, msemaji wa serikali Isaac Mwaura alisema kuwa madai kuhusu ushuru mpya kwa nguo kuukuu maarufu…

Read More

Trump ataka mataifa zaidi kujiunga kwenye Mkataba wa Abraham

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo na Iran yanapaswa kujumuisha nchi zaidi kwenye Makubaliano ya Abraham, yaliyosimamiwa na Marekani. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo na Iran yanapaswa kujumuisha nchi zaidi kwenye Makubaliano ya Abraham, yaliyosimamiwa na Marekani kwa ajili ya kuimarisha uhusiano kati ya Israel…

Read More