Latest News

All
church
business
africa
health

Trending News

Ushindani wa Ugavana Taita Taveta Wapamba Moto 01
02
ODM Kujifunza Mfumo wa Uteuzi Afrika Kusini na Ghana
03
Ruto: Aeleza Sababu ya Kituo cha Ebola
04
Mawaziri wa Museveni Waanza Mchakato wa Uhakiki

Popular

Sudan Yaongoza Orodha ya Migogoro ya Wakimbizi Iliyopuuzwa
Turkana Yazindua Awamu ya Pili ya Kampeni ya Kuzuia Malaria
Wakazi wa Garissa Waingiwa na Hofu Kutokana na Uhalifu
Wanahabari Wajir Wahimizwa Kupambana na Ukeketaji

Sudan Yaongoza Orodha ya Migogoro ya Wakimbizi Iliyopuuzwa

Sudan, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Colombia zimetajwa kuwa miongoni mwa migogoro ya wakimbizi iliyopuuzwa zaidi duniani, kulingana na Shirika la Norwegian Refugee Council. Shirika hilo linasema zaidi ya watu milioni tisa wameyakimbia makazi yao ndani ya Sudan tangu kuzuka kwa vita mwaka 2023, huku wengine milioni nne wakikimbilia mataifa jirani. Aidha, takriban watu…

Read More

Wakazi wa Garissa Waingiwa na Hofu Kutokana na Uhalifu

Wakazi wa Garissa wameeleza wasiwasi wao kufuatia kuongezeka kwa visa vya uhalifu vinavyotekelezwa na makundi ya vijana wenye silaha za jadi pamoja na baadhi ya waendesha bodaboda. Makundi hayo yanadaiwa kuendesha wizi wa kutumia nguvu, mashambulizi na hata kuweka vizuizi haramu usiku ili kuwatoza wakazi fedha. Matukio ya hivi karibuni yamewalazimu wafanyabiashara wengi kufunga biashara…

Read More

Afisa Mkuu wa Nairobi Akamatwa na Mamilioni ya Fedha

Sakata kubwa limeibuka baada ya Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi, EACC, kumkamata Afisa Mkuu wa Mipango ya Miji wa Kaunti ya Nairobi, Patrick Analo Akivaga. Katika operesheni iliyofanyika nyumbani kwake Syokimau, maafisa wa EACC walidai kupata zaidi ya shilingi milioni 65 taslimu pamoja na nyaraka mbalimbali za mali, hati za ardhi, magari na…

Read More

Rais William Ruto atetea uamuzi wake wa kueka kituo cha wagonjwa wa Ebola humu nchini.

Rais William Ruto ametetea uamuzi wake wa kuruhusu Marekani kujenga kituo cha Ebola huko Laikipia, akisema kuwa itakuwa “unyama” na kutowajibika kukataa ombi lililofadhiliwa na Amerika la kusaidia kudhibiti vitisho vya afya na milipuko ya magonjwa. Akizungumza katika ziara ya kitaifa nchini Afrika Kusini, Rais alisema serikali ya Marekani imetoa mabilioni ya fedha kusaidia miundombinu…

Read More

Kenya na Urusi zajizatiti kuimarisha ushirikiano katika sekta mbali mbali.

Kenya na Urusi zinajizatiti kuimarisha ushirikiano baina yao katika sekta za elimu, biashara, nishati na utamaduni, huku uhusiano wa nchi hizi mbili ukiendelea kuimarika. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya kitaifa ya Urusi Jijini Nairobi, balozi wa Urusi nchini Kenya Vsevolod Tkachenko, alisema nchi hizi mbili zimepiga hatua ya kumezewa mate katika siasa, uchumi…

Read More