Biashara ya nyama ya Punda kuendelea licha ya marufuku.
BIASHARA haramu ya nyama na ngozi za punda imeendelea kushamiri nchini licha ya serikali kupiga…
Mawaziri wapya walioteuliwa na Rais Yoweri Museveni wanatarajiwa kupitia mchakato wa uhakiki wa bunge kabla ya kuapishwa na kuanza rasmi kutekeleza majukumu yao serikalini. Mchakato huo utaanza Juni Mosi ambapo kamati za bunge zitawahoji na kutathmini mawaziri hao kwa muda wa siku mbili ili kubaini uwezo wao wa kuongoza wizara walizopangiwa. Baada ya zoezi hilo,…
Mjadala kuhusu mustakabali wa uongozi wa kisiasa katika eneo la Mulembe umechukua mkondo mpya baada ya viongozi kadhaa kuanza kumtaja Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna kama mmoja wa viongozi wanaoweza kuiongoza jamii hiyo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Akizungumza katika Kaunti ya Bungoma, Seneta wa Kakamega Boni Khalwale alisema jamii ya Mulembe inahitaji…
Zaidi ya Wakenya milioni 31.5 wamejisajili chini ya Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), huku serikali ikisisitiza kuwa mpango huo unaendelea kupanua upatikanaji wa huduma za afya nchini. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Madaraka katika Kaunti ya Wajir, Rais William Ruto alisema kati ya waliojisajili, zaidi ya watu 800,000 wanatoka katika kaunti za…
Uwanja mpya wa Wajir sasa utajulikana kama Ahmed Khalif Wajir Stadium baada ya Rais William Ruto kukubali ombi la viongozi wa eneo hilo la kumuenzi mwanasiasa mashuhuri marehemu Ahmed Mohamed Khalif. Hatua hiyo ilitangazwa wakati wa sherehe za Madaraka Day katika Kaunti ya Wajir, ambapo viongozi walieleza kuwa marehemu Khalif aliweka historia kwa kuwa mmoja…
Mahakama Kuu imeizuia kwa muda serikali kuanzisha au kuendesha vituo vya karantini, kutenga au kutibu wagonjwa wa Ebola nchini chini ya makubaliano yoyote na Marekani au taifa lingine la kigeni. Mahakama pia imepiga marufuku kuingizwa nchini, kuhamishwa au kupokelewa kwa watu walioathiriwa au kuambukizwa Ebola hadi kesi hiyo itakaposikilizwa na kuamuliwa. Hatua hiyo ilichukuliwa baada…
Wakulima wa majani chai kutoka maeneo mbalimbali nchini wameibua wasiwasi mkubwa kuhusu ushuru wa asilimia 0.8 uliopendekezwa katika Mswada wa Majani Chai, wakisema hatua hiyo itaongeza mzigo kwa wakulima na kudhoofisha sekta hiyo muhimu ya uchumi. Akizungumza katika kaunti ya Kiambu, mwenyekiti wa kiwanda cha majani chai cha Kagwe, William Muroki Githumbi, alisema wakulima hawakuhusishwa…
Wakazi wa kijiji cha Hidabo kisiwani Lamu wameeleza hofu yao kuhusu athari za kiafya zinazodaiwa kusababishwa na moshi na harufu kali kutoka kwa tanuri ya kuchomea taka za hospitali kuu ya rufaa ya King Fahd. Kijiji hicho chenye zaidi ya wakazi 500 kinapakana na hospitali hiyo, huku wakazi wakisema moshi unaotoka kwenye mtambo huo umeanza…
Viongozi wakuu wa chama cha ODM Jumapili wanatarajiwa kukutana Kisumu katika mkutano mkubwa wa kisiasa unaolenga kutoa mwelekeo wa kisiasa wa jamii ya Waluo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Mkutano huo, uliopewa jina la ‘Azimio la Waluo’, unatazamwa kama moja ya mikutano muhimu zaidi katika historia ya siasa za Nyanza tangu kifo cha aliyekuwa…
Wakulima wa mahindi nchini Kenya wanakabiliwa na changamoto ya wafanyabiashara wengi, kuagiza mahindi kutoka nje ya nchi kufuatia kuongezeka kwa uagizaji wa mahindi ya bei nafuu kutoka mataifa ya COMESA, hali inayozua mjadala kuhusu mustakabali wa uzalishaji wa chakula nchini. Bei ya gunia la mahindi imeshuka kutoka takriban Shilingi 4,600 hadi karibu Shilingi 4,000 ndani…
Makundi ya kutetea haki za binadamu mjini Mombasa pamoja na viongozi wa kaunti ya Lamu, wameitaka serikali kuondoa mara moja amri ya kutotoka nje usiku iliyowekwa tangu mwaka 2017 kufuatia uamuzi wa mahakama uliositisha utekelezaji wake. Uamuzi huo ulitolewa Mei 21, 2026 na mahakama kuu ya Garsen, iliyosimamisha utekelezaji wa amri hiyo katika kaunti za…