Waislamu nchini waadhimisha Eid-al-Adha
Waislamu kote nchini leo waliungana na waumini wengine duniani kuadhimisha sikukuu ya Eid al-Adha kwa…
Makundi ya kutetea haki za binadamu mjini Mombasa pamoja na viongozi wa kaunti ya Lamu, wameitaka serikali kuondoa mara moja amri ya kutotoka nje usiku iliyowekwa tangu mwaka 2017 kufuatia uamuzi wa mahakama uliositisha utekelezaji wake. Uamuzi huo ulitolewa Mei 21, 2026 na mahakama kuu ya Garsen, iliyosimamisha utekelezaji wa amri hiyo katika kaunti za…
Serikali ya Kenya imetoa hakikisho kwa wakenya kwamba wizara ya afya iko imara kuhakikisha wananchi wako salama dhidi ya maradhi ya Ebola ambayo yanaendelea kuripotiwa nchini Congo. Akizungumza wakati wa sherehe za Eid-al-Adha waziri wa afya nchini Aden Duale alisema kuwa raia wote wanaoingia nchini wanakaguliwa katika mipaka ya taifa hili ili kuhakiksiha kuna usalama…
Serikali imewahakikishia Wakenya kuwa mswada wa Fedha mwaka 2026 haujajumuisha baadhi ya ushuru unaodaiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikisema taarifa hizo ni za kupotosha na zenye nia ya kuzua hofu miongoni mwa wananchi. Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatano, msemaji wa serikali Isaac Mwaura alisema kuwa madai kuhusu ushuru mpya kwa nguo kuukuu maarufu…
Waislamu kote nchini leo waliungana na waumini wengine duniani kuadhimisha sikukuu ya Eid al-Adha kwa kuswali swala maalum za pamoja katika misikiti, viwanja vya wazi na maeneo maalum ya ibada katika miji na maeneo mbalimbali nchini. Sikukuu hiyo ya Kiislamu, inayojulikana pia kama sikukuu ya kuchinja, ni mojawapo ya tarehe muhimu zaidi katika kalenda ya…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo na Iran yanapaswa kujumuisha nchi zaidi kwenye Makubaliano ya Abraham, yaliyosimamiwa na Marekani. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo na Iran yanapaswa kujumuisha nchi zaidi kwenye Makubaliano ya Abraham, yaliyosimamiwa na Marekani kwa ajili ya kuimarisha uhusiano kati ya Israel…
Platform for African Democrats,ambalo ni jukwaa la kisiasa linalowaleta pamoja viongozi wa upinzani, wanaharakati na vyama mbalimbali vya kisiasa barani Afrika, limekosoa matumizi ya mifumo ya mahakama dhidi ya viongozi wa upinzani katika baadhi ya nchi za Afrika Mashariki. Jukwaa hilo, lilitaja kesi zinazowakabili Tundu Lissu wa nchini Tanzania, Kizza Besigye wa nchini Uganda na…
Bunge la Kitaifa linaanza vikao vya kawaida mchana huu na Wabunge wamepangiwa kuanza kuzingatia shughuli muhimu za bajeti na kisheria zinazotarajiwa kuunda mwelekeo wa kifedha na sera za nchi kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Kipengele cha juu kwenye ajenda kitakuwa mjadala juu ya Matumizi ya Kila Mwaka ya Serikali ya Kitaifa kwa Mwaka wa Fedha…
Martha Koome amewataka mawakili wapya walioapishwa kutumia taaluma yao kama chombo cha kuimarisha haki, kulinda Katiba na kuwahudumia Wakenya wote bila ubaguzi, hususan watu wasiokuwa na uwezo wa kifedha na wanaoishi katika maeneo yaliyotengwa. Akizungumza Jumatatu wakati wa hafla ya kuwaapisha mawakili hao wapya, Koome alisema kuwa jukumu la wakili halipaswi kuishia tu mahakamani bali…
Hakimu Mkuu Martha Koome amewaomba mawakili wapya walioteuliwa kutumia sheria kama chombo cha mabadiliko ya kijamii na kusaidia kufunga pengo la haki linalowakumba Wakenya walio hatarini na wasio na huduma za kutosha. Akizungumza wakati wa sherehe ya kuteuliwa kwa mawakili wapya kwenye Orodha ya Mawakili katika Mahakama ya Milimani, Koome aliwaomba mawakili kuzingatia uadilifu, kukumbatia…
Serikali ya Sudan Kusini imebadili msimamo wake na kuachana na mpango wa kuondoa vifungu muhimu kutoka kwa Makubaliano ya Amani ya mwaka 2018. Hatua hiyo imekuja baada ya shinikizo kutoka kwa mashirika ya kiraia na mabalozi mbalimbali wa kigeni, ambao walieleza wasiwasi wao kuhusu uwezekano wa kuyumba kwa mchakato wa amani na taasisi za mpito…