Edgar Kalimbo

Kilalo: Ushirikiano na serikali ya Kitaifa

Naibu Gavana wa kaunti ya Taita Taveta Christine Kilalo ametoa wito wa kuimarishwa zaidi kwa ushirikiano wa serikali ya kaunti hiyo na serikali ya kitaifa ili kuweza kupambana na changamoto zinazokumba wakaazi pamoja kufanikisha maendeleo. Kilalo alisema kuwa migogoro ya mashamba, kuimarishwa kwa huduma na kuwaweza wakaazi kimaendeleleo ni baadhi ya maswala ambayo yanastahili kushughulikiwa…

Read More