Kilalo: Ushirikiano na serikali ya Kitaifa
Naibu Gavana wa kaunti ya Taita Taveta Christine Kilalo ametoa wito wa kuimarishwa zaidi kwa ushirikiano wa serikali ya kaunti hiyo na serikali ya kitaifa ili kuweza kupambana na changamoto zinazokumba wakaazi pamoja kufanikisha maendeleo. Kilalo alisema kuwa migogoro ya mashamba, kuimarishwa kwa huduma na kuwaweza wakaazi kimaendeleleo ni baadhi ya maswala ambayo yanastahili kushughulikiwa…
Marsabit: Mwalimu kizimbani kwa tuhuma za kunajisi
Mwalimu mmoja Jumatatu alifikishwa katika mahakama ya Marsabit kwa madai ya kumnajisi mwanafunzi wa umri wa miaka 14. Denis Kipkoech Chepkwony mwenye umri wa miaka 29 alikabiliwa na shataka la kumnajisi mwanafunzi huyo kati ya tarehe 5 na tarehe 18 mwezi April mwaka huu wa 2026 katika eneo la Kargi, kaunti ya Marsabit. Mshtakiwa pia anakabiliwa…
