Skip to content

Edgar Kalimbo

Maandamano ya kupinga bei za mafuta-Marsabit

Vijana na wahudumu wa bodaboda mjini Marsabit mapema Jumatatu waliungana na wakenya wengine kushiriki maandamano ya kulalamikia ongezeko la bei ya mafuta. Mandamano hayo yalikatiza shughuli za biashara, huku baadhi ya maduka yakisalia kufungwa mapema Jumatatu Maafisa wa polisi walilazimika kutumia vitoa machozi kuwatawanya wandamanaji waliokuwa wakiteketeza magurudumu ya magari na kuziba barabara kuu ya…

Read More

Usafiri wa umma walemazwa katika miji mikuu na sehemu tofauti nchini, kufuatia mgomo wa magari ya uchukuzi kulalamikia ongezeko kubwa la bei za mafuta ya Dizeli na Petroli

Maelfu ya wakenya mapema Jumatatu walilazimika kutembea kuelekea kazini, huku wengine wakisalia nyumbani kwa kukosa usafiri, baada ya kuanza rasmi kwa mgomo unaopinga ongezeko kubwa la bei ya mafuta, huku ikikadiriwa kuwa gharama ya maisha pia huenda ikaongezeka. Naye waziri wa hazina ya kiaifa John Mbadi mapema Jumatatu alisema mgomo huo haukustahili akisema serikali tayari…

Read More

Baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya naibu wa rais nchini huenda wakajiuzulu kujiunga na siasa kabla ya uchaguzi mkuu 2027

Baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya naibu wa rais nchini watarajiwa kujiuzulu huku maafisa wakuu katika ofisi za umma wakionya kuwa wengi wa wafanyakazi huenda wakajiuzulu kabla ya uchaguzi mkuu mwaka 2027, hali iliyosababisha kuongeza kwa mgao wa shilingi milioni 95.4 kwa ajili ya malipo ya watumishi hao wakati watakapoondoka kazini. Suala hilo lilijiri wakati…

Read More

Gavana wa zamani Taita Taveta John Mtuttu awataka wanafunzi kukoma kuchoma shule

Mwenyekiti wa bodi ya shirika la kupeana mikopo kwa wakulima (AFC) John Mruttu amewataka wanafunzi kukoma tabia ya uchomaji wa shule katika kaunti ya Taita Taveta kufuatia visa kadhaa kushuhudiwa siku za hivi karibuni. Mruttu pia amewataka washika dau mbali mbali ikiwemo wazazi,walimu sawa na viongozi wa dini kuja pamoja na kuangazia suluhu juu ya…

Read More

Bunge la seneti lapendekeza sheria ya kuzikinga serikali za kaunti kutokana na upungu wa fedha

Kamati ya Seneti kuhusu fedha na bajeti imewasilisha mapendekezo ya marekebisho ya muswada wa ugavi wa mapato wa mwaka 2026 ambayo yanaitaka serikali ya kitaifa kugharamia peke yake upungufu wowote wa mapato utakaojitokeza katika mwaka wa kifedha wa 2026/2027. Marekebisho hayo, yaliyoorodheshwa katika ajenda ya Seneti kabla ya kikao cha Jumanne, yanapendekeza kifungu kipya kinachoeleza…

Read More