Mashabiki wa Asenali washerekea mjini Garissa baada ya ktwaa kombe la Epl baada ya miaka 22.
Makumi ya mashabiki wa kilabu ya Arsenal katika kaunti ya Garissa walijitokeza kwa wingi ili kusherehekea ushindi wa kilabu ya kuitwa kombe la Epl msimu huu. Wakizungumza mjini Garissa mshabiki hao wakiongozwa na Dickson Odhiambo waliisifia kilabu hiyo kwa kutwaa ubingwa huo, huku wengi wao wakisema kuwa kwa kipindi cha miaka 22 wamekuwa wakiisubiria ushindi…
