Rais Ruto Aanza Ziara Ya Mataifa Ya Ulaya
Rais William Ruto ameondoka nchini kuelekea barani Ulaya kwa ziara rasmi inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya Kenya na mataifa ya Ulaya. Rais aliondoka Jumapili jioni kuelekea Ubelgiji, Norway na Finland. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu, ziara hiyo inalenga kushawishi uwekezaji zaidi nchini Kenya pamoja na kupanua masoko ya bidhaa za Kenya katika…
