Wakulima mjini Garissa waomba msaada kutoka kwa serikali kuu kuhusiana na mafuriko.

Wakulima katika kaunti ya garissa wanaiomba serikali kuu kuingilia kati swala la mafuriko inayoathiri mimea yao mashambani kila mara. aidha wakulima hao wameisuta kampuni ya kengen pamoja na warma kwa kufungulia maji kutoka kwa mabwawa punde tu yanapojaa. itakumbukwa kuwa mashamba kutoka eneo la Mbalambala hadi Ijara yanatumika kwenye shughuli za ukulima,huku baadhi ya wakulima…

Read More

Maandamano mjini Garissa

Wahudumu wa matatu mjini Garissa hii leo wameweza kulemaza shughuli za usafri hii nibaada ya wahudumuhao kuungana na wenzao kote nchini kwenye mgomo wa vyombo vya usafri kutokana na ongezeko la bei ya mafuta.Aidha mapema asubuhi ya leo makumi ya wasafri mjini madogo walilazimika kutumiapikipiki kuendekazini huku weingine wakilazimikakutembeakwa miguuhadimjiniGarissa.Hata hivyo wahudumu hao wa gamama…

Read More

Maraga ahimiza Bunge kutekeleza vikao mara moja, akipendekeza mpango wa hatua tatu kupunguza bei ya mafuta

Jaji wa Mahakama Kuu wa zamani David Maraga ameonyesha mshikamano na Wakenya waliokumbwa na kufungwa kwa usafirishaji nchini kote na kuwaomba Bunge kukutana mara moja ili kuidhinisha kifurushi cha hatua ambazo anasema zingelinda umma kutokana na bei za juu za mafuta.  Alipendekeza hatua tatu za haraka: kuachilia bidhaa zote za mafuta kwenye VAT, kuondoa kwa…

Read More

Usafiri wa umma walemazwa katika miji mikuu na sehemu tofauti nchini, kufuatia mgomo wa magari ya uchukuzi kulalamikia ongezeko kubwa la bei za mafuta ya Dizeli na Petroli

Maelfu ya wakenya mapema Jumatatu walilazimika kutembea kuelekea kazini, huku wengine wakisalia nyumbani kwa kukosa usafiri, baada ya kuanza rasmi kwa mgomo unaopinga ongezeko kubwa la bei ya mafuta, huku ikikadiriwa kuwa gharama ya maisha pia huenda ikaongezeka. Naye waziri wa hazina ya kiaifa John Mbadi mapema Jumatatu alisema mgomo huo haukustahili akisema serikali tayari…

Read More

Mlipuko wa Ebola Waongezeka Mashariki mwa DRC

Kulingana na taarifa za hivi karibuni kutoka Africa Centres for Disease Control and Prevention, idadi ya watu waliofariki kutokana na mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika taifa la Democratic Republic of the Congo imeongezeka hadi watu 80, huku takribani visa 246 vikishukiwa kuripotiwa katika jimbo la Ituri mashariki mwa nchi hiyo. Maeneo yaliyoathirika zaidi…

Read More