Baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya naibu wa rais nchini huenda wakajiuzulu kujiunga na siasa kabla ya uchaguzi mkuu 2027

Baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya naibu wa rais nchini watarajiwa kujiuzulu huku maafisa wakuu katika ofisi za umma wakionya kuwa wengi wa wafanyakazi huenda wakajiuzulu kabla ya uchaguzi mkuu mwaka 2027, hali iliyosababisha kuongeza kwa mgao wa shilingi milioni 95.4 kwa ajili ya malipo ya watumishi hao wakati watakapoondoka kazini. Suala hilo lilijiri wakati…

Read More

Ruto ahakikisha Kenya inaendelea kuongoza katika utafiti wa chanjo

Rais William Ruto alifanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kimataifa ya Chanjo (IVI), Jerome Kim, katika Ikulu ya Nairobi. Rais Ruto alithibitisha tena dhamira ya Kenya kuendelea kushirikiana katika utafiti na maendeleo ya chanjo, majaribio ya kitabibu, ushirikiano wa utengenezaji wa chanjo, kuimarisha mifumo ya udhibiti pamoja na maendeleo ya wafanyakazi. Taasisi hiyo…

Read More

Waiguru atoa wito wa kumchagua tena Ruto

Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru ameongeza wito wa kumchagua tena Rais William Ruto akisema eneo la Mlima Kenya linafaa kuheshimu ahadi zake za kisiasa za awali. Waiguru alisema eneo hilo lina hatari ya kutengwa kisiasa kwa kumsaliti Rais Ruto kwa kushindwa kutimiza makubaliano ya kisiasa yaliyofanywa wakati wa uongozi wa aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta. Aliwakumbusha…

Read More

Uchumi wa Somalia kudorora zaidi mwaka huu

Taifa la Somalia linatarajiwa kushuhudia ukuaji hafifu wa uchumi kwa mwaka wa tatu mfululizo huku kupanda kwa bei za mafuta duniani kukiongeza shinikizo kwa uchumi wa nchi hiyo ambao tayari uko katika hali ngumu. Ripoti ya hivi karibuni ya Benki ya Dunia kuhusu uchumi wa Somalia inaonyesha kuwa uchumi wa nchi hiyo utakua kwa asilimia…

Read More