Oburu aitetea ODM kushirikiana na serikali ya Kenya kwanza
Kiongozi wa Orange Democratic Movement (ODM), Oburu Oginga, ametetea ushirikiano wa chama hicho na serikali ya Kenya Kwanza akisema umeleta manufaa ya kisiasa na kiuchumi kwa wafuasi wa chama hicho pamoja na taifa kwa ujumla. Akizungumza wakati wa mkutano wa wadau uliofanyika Nyakach siku ya Ijumaa, mwanasiasa huyo mkongwe alisema uamuzi wa ODM kufanya kazi…
