Ebola Afrika Mashariki

Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza, Musalia Mudavadi, amewataka Wakenya kufuata kikamilifu maelekezo ya Wizara ya Afya kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Amesema ingawa Kenya bado haijathibitisha kesi yoyote ya Ebola, wananchi wanapaswa kuwa makini na kuchukua tahadhari kama ilivyokuwa wakati wa COVID-19 ili kulinda taifa…

Read More

Maraga Atoa Onyo Kali Kuhusu Utekaji na Upoteaji wa Watoto

Aliyekuwa Jaji Mkuu, Bw. David Maraga, ameonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la watoto wanaopotea, kutekwa nyara na kusafirishwa kiharamu nchini Kenya, akisema hali hiyo imefikia kiwango cha kutisha kinachohitaji hatua za haraka za kitaifa. Katika taarifa yake, Maraga alinukuu takwimu kutoka mfumo wa Child Protection Information Management System (ICPIMS) zikionyesha kuwa kati ya Januari 2025…

Read More

Mashabiki wa Asenali washerekea mjini Garissa baada ya ktwaa kombe la Epl baada ya miaka 22.

Makumi ya mashabiki wa kilabu ya Arsenal katika kaunti ya Garissa walijitokeza kwa wingi ili kusherehekea ushindi wa kilabu ya kuitwa kombe la Epl msimu huu. Wakizungumza mjini Garissa mshabiki hao wakiongozwa na Dickson Odhiambo waliisifia kilabu hiyo kwa kutwaa ubingwa huo, huku wengi wao wakisema kuwa kwa kipindi cha miaka 22 wamekuwa wakiisubiria ushindi…

Read More

Mgomo wa matatu watupiliwa mbali baada ya mazungumzo na Rais William Ruto.

Waendeshaji wa usafirishaji wa umma wametangaza kusitisha mgomo wao wa kitaifa kufuatia mazungumzo na Rais William Ruto Ikulu ya Mombasa.  Hata hivyo, Mwenyekiti wa Shirikisho la Sekta ya Usafirishaji wa Umma (FPTS) Edwins Mukabanah sasa ametangaza uamuzi wa kusitisha kabisa mgomo huo, akisema waendeshaji wametia moyo kuweka kipaumbele kwa ustawi wa uchumi huku akiwahimiza wadau…

Read More

Rais Ruto awakosoa wapinzani kuhusiana na swala la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Rais William Ruto amejibu wakosoaji wa utawala wake kuhusu jinsi wanavyoshughulikia mgogoro wa mafuta unaoendelea, akiwashutumu wapinzani wa kisiasa kwa kufaidika na mateso ya Wakenya kwa faida ya kisiasa badala ya kutoa suluhisho za vitendo. Akizungumza wakati wa hotuba ya moja kwa moja kutoka Ikulu jijini Mombasa siku ya leo Ijumaa, Ruto alilinda hatua za…

Read More

Aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua adai kuwa wakati wa uongozi wake Rais Ruto alimuambia kuwa anataka kuwa tajiri zaidi kuliko watangulizi wake.

Kiongozi wa Chama cha Demokrasia kwa Raia (DCP) Rigathi Gachagua amedai kwamba Rais William Ruto mara moja alimtahadharisha kwamba anakusudia kukusanya utajiri zaidi ya baadhi ya familia tajiri zaidi nchini Kenya.  Kiongozi wa DCP, ambaye yupo Uingereza kwa ziara ya kisiasa, alidai kuwa wakati alikuwa bado akishiriki urafiki wa dhahabu na Rais, alisema kwamba anapanga…

Read More