Skip to content

Rais Ruto awakosoa wapinzani kuhusiana na swala la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Rais William Ruto amejibu wakosoaji wa utawala wake kuhusu jinsi wanavyoshughulikia mgogoro wa mafuta unaoendelea, akiwashutumu wapinzani wa kisiasa kwa kufaidika na mateso ya Wakenya kwa faida ya kisiasa badala ya kutoa suluhisho za vitendo. Akizungumza wakati wa hotuba ya moja kwa moja kutoka Ikulu jijini Mombasa siku ya leo Ijumaa, Ruto alilinda hatua za…

Read More

Aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua adai kuwa wakati wa uongozi wake Rais Ruto alimuambia kuwa anataka kuwa tajiri zaidi kuliko watangulizi wake.

Kiongozi wa Chama cha Demokrasia kwa Raia (DCP) Rigathi Gachagua amedai kwamba Rais William Ruto mara moja alimtahadharisha kwamba anakusudia kukusanya utajiri zaidi ya baadhi ya familia tajiri zaidi nchini Kenya.  Kiongozi wa DCP, ambaye yupo Uingereza kwa ziara ya kisiasa, alidai kuwa wakati alikuwa bado akishiriki urafiki wa dhahabu na Rais, alisema kwamba anapanga…

Read More

Daraja la Tana Bridge mjini Garissa kutamatika mwezi wa nane mwaka huu.

Idara inayohusika na ujenzi wa Barabara hapa nchini almarufu KENHA imeweza kufanya ukaguzi wa Daraja mpya inayojengwa katika maeneo ya mororo na kupewa jina la Tana Bridge. Aidha kulingana naye ‘Engineer’ Michael Ngala kutoka KENHA amewahakikishia wananchi kuwa Daraja hiyo ya kisasa itasaidia pakubwa kwa uvukaji kutoka na kuingia katika kaunti ya Garissa. Bwana Ngala…

Read More

Alex Davies-Jones Ajiuzulu kupinga Uongozi wa Waziri mkuu Keir Starmer

Serikali ya Uingereza inaendelea kukumbwa na mtikisiko wa kisiasa baada ya naibu waziri katika Wizara ya Sheria, Alex Davies-Jones, kutangaza kujiuzulu kama ishara ya kupinga uongozi wa Waziri Mkuu Keir Starmer. Katika barua aliyomwandikia Starmer, Davies-Jones amesema kuwa “walistahili kufanya juhudi zaidi” na kwa masikitiko makubwa ameamua kuachia wadhifa wake. Aliongeza kuwa hawezi kuendelea kuhudumu…

Read More