Turkana Yazindua Awamu ya Pili ya Kampeni ya Kuzuia Malaria
Serikali ya Kaunti ya Turkana kwa ushirikiano na shirika la Catholic Relief Services imezindua awamu ya pili ya kampeni ya kuzuia malaria kwa watoto. Kampeni hiyo itatekelezwa katika maeneo ya Kakuma na Kalobeyei kabla ya msimu wa maambukizi ya malaria kati ya mwezi Juni na Oktoba. Meneja wa Shirika la CRS nchini, Margaret Kahiga, amesema…
