Nairobi: Koome awaomba mawakili wapya kutumia sheria kama chombo cha kuwalinda wananchi.

Hakimu Mkuu Martha Koome amewaomba mawakili wapya walioteuliwa kutumia sheria kama chombo cha mabadiliko ya kijamii na kusaidia kufunga pengo la haki linalowakumba Wakenya walio hatarini na wasio na huduma za kutosha. Akizungumza wakati wa sherehe ya kuteuliwa kwa mawakili wapya kwenye Orodha ya Mawakili katika Mahakama ya Milimani, Koome aliwaomba mawakili kuzingatia uadilifu, kukumbatia…

Read More

Maraga Atoa Onyo Kali Kuhusu Utekaji na Upoteaji wa Watoto

Aliyekuwa Jaji Mkuu, Bw. David Maraga, ameonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la watoto wanaopotea, kutekwa nyara na kusafirishwa kiharamu nchini Kenya, akisema hali hiyo imefikia kiwango cha kutisha kinachohitaji hatua za haraka za kitaifa. Katika taarifa yake, Maraga alinukuu takwimu kutoka mfumo wa Child Protection Information Management System (ICPIMS) zikionyesha kuwa kati ya Januari 2025…

Read More

Shirika la Msalaba Mwekundu Yatoa Misaada Kwa Waaathirika wa Mafuriko Garissa

Takriban familia 1,000 zilizoathiriwa na mafuriko ya hivi karibuni katika kaunti ya Garissa zimepokea msaada wa bidhaa zisizo za chakula kutoka Shirika la Kenya Red Cross. Msaada huo unalenga kupunguza mateso ya waathirika waliopo katika kambi za wakimbizi wa ndani huku wakisubiri maji kupungua ili waweze kurejea katika maisha yao ya kawaida. Waathirika hao wanatoka…

Read More

Ruto Aagiza Matatu Kuendelea Kutumia Grafiti Na Sanaa

Rais William Ruto, ameagiza Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) kuruhusu wahudumu wa matatu kuendelea kutumia michoro ya graffiti na sanaa kwenye magari ya uchukuzi wa umma. Akizungumza kutoka Ikulu ya Mombasa, Rais alisema serikali itahakikisha mazingira mazuri kwa waendeshaji wa matatu kuendelea kuonyesha ubunifu na sanaa kwenye magari yao huku wakizingatia…

Read More

Maandamano ya kupinga bei za mafuta-Marsabit

Vijana na wahudumu wa bodaboda mjini Marsabit mapema Jumatatu waliungana na wakenya wengine kushiriki maandamano ya kulalamikia ongezeko la bei ya mafuta. Mandamano hayo yalikatiza shughuli za biashara, huku baadhi ya maduka yakisalia kufungwa mapema Jumatatu Maafisa wa polisi walilazimika kutumia vitoa machozi kuwatawanya wandamanaji waliokuwa wakiteketeza magurudumu ya magari na kuziba barabara kuu ya…

Read More