Wakazi wa Garissa Waingiwa na Hofu Kutokana na Uhalifu
Wakazi wa Garissa wameeleza wasiwasi wao kufuatia kuongezeka kwa visa vya uhalifu vinavyotekelezwa na makundi ya vijana wenye silaha za jadi pamoja na baadhi ya waendesha bodaboda. Makundi hayo yanadaiwa kuendesha wizi wa kutumia nguvu, mashambulizi na hata kuweka vizuizi haramu usiku ili kuwatoza wakazi fedha. Matukio ya hivi karibuni yamewalazimu wafanyabiashara wengi kufunga biashara…
