TSC YAPIGWA DARUBINI KUHUSU MGAWO WA WALIMU
Tume ya Huduma kwa Walimu, TSC, imekosolewa na wadau wa elimu kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ukosefu wa usawa katika usambazaji wa walimu nchini. Katika kongamano la elimu mjini Naivasha, wadau walisema baadhi ya shule zina walimu wengi kupita kiasi huku nyingine zikiwa na uhaba mkubwa. Mwanachama wa Baraza la Chuo Kikuu cha Multimedia, Beatrice Tonui…
