WAIGURU ATETEA USHIRIKIANO WAKE NA RUTO
Anne Waiguru ametetea uamuzi wake wa kuendelea kumuunga mkono Rais William Ruto akisema ushirikiano huo unalenga kuhakikisha Kaunti ya Kirinyaga inanufaika zaidi kimaendeleo kutoka serikali kuu. Akizungumza mjini Wang’uru wakati wa uzinduzi wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa maji wa Mwea, Waiguru alisema hakuna serikali ya kaunti inayoweza kufanikisha miradi mikubwa bila kushirikiana na…
