Mahakama Yatoa Mwongozo Mpya kwa Kesi za Mahusiano ya Vijana
Mahakama Kuu imeamua kuwa baadhi ya vifungu vya Sheria ya Makosa ya Kujamiiana haviwezi kutumika kuhalalisha mashtaka dhidi ya vijana walio katika mahusiano ya kimapenzi ya hiari bila shuruti na walio karibu kwa umri. Jaji Bahati Mwamuye alisema utekelezaji wa vifungu vya 8, 9 na 11 vya sheria hiyo dhidi ya vijana wanaohusika katika mahusiano…
