Skip to content

Kenya Yataka Mafunzo ya afya yawe na mtaala mmoja kupambana na wimbi la wataalamu kuhama nje ya nchi

Wizara ya Afya imetoa wito wa kuoanisha mitaala katika taasisi za mafunzo ya afya nchini huku ikisisitiza umuhimu wa kuimarisha uwekezaji wa pamoja ili kukabiliana na upungufu wa wahudumu wa afya unaochangiwa na wimbi la wataalamu kuhamia mataifa ya nje kutafuta ajira. Akizungumza siku ya Jumatano katika mazungumzo ya ngazi ya juu na Mkurugenzi wa…

Read More

Aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua adai kuwa wakati wa uongozi wake Rais Ruto alimuambia kuwa anataka kuwa tajiri zaidi kuliko watangulizi wake.

Kiongozi wa Chama cha Demokrasia kwa Raia (DCP) Rigathi Gachagua amedai kwamba Rais William Ruto mara moja alimtahadharisha kwamba anakusudia kukusanya utajiri zaidi ya baadhi ya familia tajiri zaidi nchini Kenya.  Kiongozi wa DCP, ambaye yupo Uingereza kwa ziara ya kisiasa, alidai kuwa wakati alikuwa bado akishiriki urafiki wa dhahabu na Rais, alisema kwamba anapanga…

Read More

Zaidi ya watu Elfu kumi na tano (15,000) wameaga dunia kutokana na virusi vya Ebola.

Hatari kutoka mlipuko hatari wa Ebola ni kubwa katika Afrika ya Kati lakini bado ni ndogo kimataifa, Shirika la Afya Duniani jana Jumatano lilisema, likiongeza kuwa virusi hivo huenda vimekuwa vikienea kwa miezi kadhaa.  Mlipuko wa homa ya mapafu yenye kuambukiza sana ulitangazwa katika mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Ijumaa iliyopita.  Ebola imewaua…

Read More

Daraja la Tana Bridge mjini Garissa kutamatika mwezi wa nane mwaka huu.

Idara inayohusika na ujenzi wa Barabara hapa nchini almarufu KENHA imeweza kufanya ukaguzi wa Daraja mpya inayojengwa katika maeneo ya mororo na kupewa jina la Tana Bridge. Aidha kulingana naye ‘Engineer’ Michael Ngala kutoka KENHA amewahakikishia wananchi kuwa Daraja hiyo ya kisasa itasaidia pakubwa kwa uvukaji kutoka na kuingia katika kaunti ya Garissa. Bwana Ngala…

Read More

Shirika la Msalaba Mwekundu latoa msaada Kwa waathirika wa mafuriko mjini Garissa.

Shirika la msalaba mwekundu katika kaunti ya Garissa limeweza kutoa msaada kwa waathiriwa wa mafuriko ya maji ambao kwa sasa wanaishi kwenye kambi tofauti tofauti katika kaunti ya garissa. Akizungumza kwenye ugavi wa vyombo hivyo katika kambi ya FTC (farmers training centre) mjini Garissa,msaidizi wa shirika hilo la msalaba mwekundu Daudi Ahmed amehoji kuwa wametoa…

Read More