Maandamano mjini Garissa
Wahudumu wa matatu mjini Garissa hii leo wameweza kulemaza shughuli za usafri hii nibaada ya wahudumuhao kuungana na wenzao kote nchini kwenye mgomo wa vyombo vya usafri kutokana na ongezeko la bei ya mafuta.Aidha mapema asubuhi ya leo makumi ya wasafri mjini madogo walilazimika kutumiapikipiki kuendekazini huku weingine wakilazimikakutembeakwa miguuhadimjiniGarissa.Hata hivyo wahudumu hao wa gamama…
