President Ruto Urges Norwegian Investors to Capitalize on Kenya’s Skilled Youth and African Market Access

President William Ruto has urged Norwegian businesses to invest more in Kenya, stating that the country possesses a large pool of skilled youth and is well-positioned to serve the African market. Speaking in Oslo, Norway, the President said Kenya and Norway could strengthen cooperation in the clean energy, fisheries, and technology sectors. He noted that…

Read More

Rais William Ruto atetea uamuzi wake wa kueka kituo cha wagonjwa wa Ebola humu nchini.

Rais William Ruto ametetea uamuzi wake wa kuruhusu Marekani kujenga kituo cha Ebola huko Laikipia, akisema kuwa itakuwa “unyama” na kutowajibika kukataa ombi lililofadhiliwa na Amerika la kusaidia kudhibiti vitisho vya afya na milipuko ya magonjwa. Akizungumza katika ziara ya kitaifa nchini Afrika Kusini, Rais alisema serikali ya Marekani imetoa mabilioni ya fedha kusaidia miundombinu…

Read More

Maandamano mjini Garissa

Wahudumu wa matatu mjini Garissa hii leo wameweza kulemaza shughuli za usafri hii nibaada ya wahudumuhao kuungana na wenzao kote nchini kwenye mgomo wa vyombo vya usafri kutokana na ongezeko la bei ya mafuta.Aidha mapema asubuhi ya leo makumi ya wasafri mjini madogo walilazimika kutumiapikipiki kuendekazini huku weingine wakilazimikakutembeakwa miguuhadimjiniGarissa.Hata hivyo wahudumu hao wa gamama…

Read More