TAHADHARI MPYA YA MAFURIKO TANA RIVER
Gavan wa Tana River Dhadho Godhana pamoja na kamishna wa kaunti hiyo,Joseph Mwangi wametoa tahadhari kali kwa wakazi wanaoishi maeneo ya mabondeni na karibu na Mto Tana kuhama mara moja kuelekea maeneo ya juu kutokana na hatari ya mafuriko makubwa yanayotabiriwa katika siku na wiki zijazo. Onyo hilo linajiri huku kina cha maji ya mto…
