Waiguru atoa wito wa kumchagua tena Ruto

Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru ameongeza wito wa kumchagua tena Rais William Ruto akisema eneo la Mlima Kenya linafaa kuheshimu ahadi zake za kisiasa za awali. Waiguru alisema eneo hilo lina hatari ya kutengwa kisiasa kwa kumsaliti Rais Ruto kwa kushindwa kutimiza makubaliano ya kisiasa yaliyofanywa wakati wa uongozi wa aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta. Aliwakumbusha…

Read More

Uchumi wa Somalia kudorora zaidi mwaka huu

Taifa la Somalia linatarajiwa kushuhudia ukuaji hafifu wa uchumi kwa mwaka wa tatu mfululizo huku kupanda kwa bei za mafuta duniani kukiongeza shinikizo kwa uchumi wa nchi hiyo ambao tayari uko katika hali ngumu. Ripoti ya hivi karibuni ya Benki ya Dunia kuhusu uchumi wa Somalia inaonyesha kuwa uchumi wa nchi hiyo utakua kwa asilimia…

Read More

Daktari wa moyo Dkt. Gikonyo atetea Ripoti ya matibabu inayounga mkono Gachagua katika kesi ya kubanduliwa madarakani.

Daktari wa Moyo Daniel Kibuka Gikonyo amefika mbele ya mahakama kwa uchunguzi wa mashahidi baada ya kuwasilisha tamko la kiakili lililounga mkono Makamu wa Rais wa zamani Rigathi Gachagua katika changamoto ya kisheria inayoendelea juu ya mchakato wake wa kumpandisha daraja. Dk. Gikonyo alijitetea kuhusu tathmini yake ya kiafya ya Gachagua, akiambia mahakama kwamba, kwa…

Read More

Turkana yawajengea uwezo maafisa wa rasilimali watu.

Serikali ya Kaunti ya Turkana imewafunza maafisa 50 wa rasilimali watu kuhusu mfumo wa tathmini ya utendakazi wa wafanyakazi, maarufu kama SPAS, katika juhudi za kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi. Afisa Mkuu wa Utawala na Usimamizi wa Majanga, Marian Lotieng, amesema mafunzo hayo ni sehemu ya mpango wa kuimarisha uwezo wa watumishi wa umma…

Read More

Seneti yatilia shaka ushahidi wa matibabu wa Rigathi Gachagua

Seneti imeibua maswali kuhusu ushahidi wa matibabu uliowasilishwa na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua katika kesi ya kuondolewa kwake mamlakani. Kupitia kwa Karani wa Seneti Jeremiah Nyegenye, Seneti pamoja na Spika Amason Kingi wamehoji uhalali wa stakabadhi za hospitali zilizowasilishwa na daktari wa moyo Daniel Gikonyo. Seneti inasema kuwa rekodi hizo zina utata na hazikuwahi…

Read More