ODM YAKABILIWA NA PRESHA YA UMAARUFU WA MATIANG’I GUSII
Chama cha ODM, kinakabiliwa na changamoto ya kudumisha ushawishi wake katika eneo la Gusii kutokana na kuongezeka kwa umaarufu wa aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Baadhi ya viongozi wa chama cha ODM, kutoka Kisii na Nyamira tayari wameonyesha kumuunga mkono Matiang’i, huku wengine wakionekana kusitasita kati…
