Kenya na Ufaransa zatia sahihi makubaliano ya ushirikaino
Kenya na Ufaransa zimetia sahihi mikataba ya ushirikiano katika sekta mbalimbali, hafla iliyofanyika katika Ikulu ya Nairobi. Akizungmza baada ya kusaini mikataba hiyo rais Dokta William Ruto alisema kuwa Kenya, itaendelea kuwa mshirika wa karibu wa Ufaransa katika sekta mbalimbi kwa manufaa ya nchi zote mbili. Mikataba iliyosainiwa ni ya sekta ya uchimbaji madini, sekta…
