Kiongozi wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, ameikosoa vikali

Kiongozi wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, ameikosoa vikali sera za uchumi na ajira za serikali, akidai kuwa makato yanayoendelea yameongeza mzigo kwa wafanyakazi nchini.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti ya soko la ajira ya mwaka 2026, Gachagua alisema makato kama PAYE, SHA, NSSF pamoja na ushuru wa nyumba yamepunguza kwa kiwango kikubwa kipato halisi…

Read More

Raia wa Kenya wanaoishi Afrika Kusini

Raia wa Kenya wanaoishi Afrika Kusini wametakiwa kuchukua tahadhari zaidi kufuatia maandamano yanayoripotiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo, yanayowalenga wageni.Ubalozi wa Kenya nchini humo umewasihi Wakenya kuepuka maeneo ya mikusanyiko ya maandamano, kubeba vitambulisho vyao muda wote, na kufuata maelekezo ya vyombo vya usalama.Aidha, wametakiwa kuripoti matukio yoyote ya dharura kwa mamlaka husika…

Read More