Kiongozi wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, ameikosoa vikali
Kiongozi wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, ameikosoa vikali sera za uchumi na ajira za serikali, akidai kuwa makato yanayoendelea yameongeza mzigo kwa wafanyakazi nchini.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti ya soko la ajira ya mwaka 2026, Gachagua alisema makato kama PAYE, SHA, NSSF pamoja na ushuru wa nyumba yamepunguza kwa kiwango kikubwa kipato halisi…
