Binti Wangila

Mwaura: Wakenya wasome mswada wa fedha 2026

Serikali imewahakikishia Wakenya kuwa mswada wa Fedha mwaka 2026 haujajumuisha baadhi ya ushuru unaodaiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, ikisema taarifa hizo ni za kupotosha na zenye nia ya kuzua hofu miongoni mwa wananchi. Akizungumza na wanahabari siku ya Jumatano, msemaji wa serikali Isaac Mwaura alisema kuwa madai kuhusu ushuru mpya kwa nguo kuukuu maarufu…

Read More

Hali ya kesi za Tundu Lissu, Kizza Besigye na Victoire Ingabire

Platform for African Democrats,ambalo ni jukwaa la kisiasa linalowaleta pamoja viongozi wa upinzani, wanaharakati na vyama mbalimbali vya kisiasa barani Afrika, limekosoa matumizi ya mifumo ya mahakama dhidi ya viongozi wa upinzani katika baadhi ya nchi za Afrika Mashariki. Jukwaa hilo, lilitaja kesi zinazowakabili Tundu Lissu wa nchini Tanzania, Kizza Besigye wa nchini Uganda na…

Read More

Nafasi ya mawakili wapya katika kuimarisha haki nchini

Martha Koome amewataka mawakili wapya walioapishwa kutumia taaluma yao kama chombo cha kuimarisha haki, kulinda Katiba na kuwahudumia Wakenya wote bila ubaguzi, hususan watu wasiokuwa na uwezo wa kifedha na wanaoishi katika maeneo yaliyotengwa. Akizungumza Jumatatu wakati wa hafla ya kuwaapisha mawakili hao wapya, Koome alisema kuwa jukumu la wakili halipaswi kuishia tu mahakamani bali…

Read More

Ebola Afrika Mashariki

Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza, Musalia Mudavadi, amewataka Wakenya kufuata kikamilifu maelekezo ya Wizara ya Afya kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Amesema ingawa Kenya bado haijathibitisha kesi yoyote ya Ebola, wananchi wanapaswa kuwa makini na kuchukua tahadhari kama ilivyokuwa wakati wa COVID-19 ili kulinda taifa…

Read More

Maraga Atoa Onyo Kali Kuhusu Utekaji na Upoteaji wa Watoto

Aliyekuwa Jaji Mkuu, Bw. David Maraga, ameonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la watoto wanaopotea, kutekwa nyara na kusafirishwa kiharamu nchini Kenya, akisema hali hiyo imefikia kiwango cha kutisha kinachohitaji hatua za haraka za kitaifa. Katika taarifa yake, Maraga alinukuu takwimu kutoka mfumo wa Child Protection Information Management System (ICPIMS) zikionyesha kuwa kati ya Januari 2025…

Read More