Binti Wangila

Mfumo mpya wa Kuccps kubadilisha ufadhili wa vyuo vikuu

Kenya inajiandaa kwa mabadiliko makubwa katika mfumo wa ufadhili wa vyuo vikuu huku taifa likielekea katika utekelezaji wa mfumo wa elimu wa Competency-Based Education (CBE). Akizungumza katika mahojiano, mkurugenzi mkuu wa KUCCPS Dkt. Agnes Mercy Wahome alisema kuwa mfumo mpya wa udahili utaanzisha vigezo vipya vya upangaji wa wanafunzi vinavyoendana na mfumo wa tathmini wa…

Read More

Shirika la Msalaba Mwekundu Yatoa Misaada Kwa Waaathirika wa Mafuriko Garissa

Takriban familia 1,000 zilizoathiriwa na mafuriko ya hivi karibuni katika kaunti ya Garissa zimepokea msaada wa bidhaa zisizo za chakula kutoka Shirika la Kenya Red Cross. Msaada huo unalenga kupunguza mateso ya waathirika waliopo katika kambi za wakimbizi wa ndani huku wakisubiri maji kupungua ili waweze kurejea katika maisha yao ya kawaida. Waathirika hao wanatoka…

Read More

Ruto Aagiza Matatu Kuendelea Kutumia Grafiti Na Sanaa

Rais William Ruto, ameagiza Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) kuruhusu wahudumu wa matatu kuendelea kutumia michoro ya graffiti na sanaa kwenye magari ya uchukuzi wa umma. Akizungumza kutoka Ikulu ya Mombasa, Rais alisema serikali itahakikisha mazingira mazuri kwa waendeshaji wa matatu kuendelea kuonyesha ubunifu na sanaa kwenye magari yao huku wakizingatia…

Read More