Kesi Ya Gachagua Yasubiri Uamuzi Wa Mahakama Leo

Macho ya Wakenya leo yanaelekezwa katika Mahakama Kuu ya Nairobi, ambapo uamuzi wa kesi inayopinga kuondolewa afisini kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua unatarajiwa kutolewa. Jopo la majaji watatu; Erick Ogola, Antony Mrima na Freda Mugambi, linatarajiwa kutoa uamuzi huo siku chache baada ya pande zote zinazohusika kukamilisha mawasilisho yao tarehe 22 mwezi uliopita. Uamuzi…

Read More

Mahakama kutoa uamuzi leo dhidi ya kesi ya Gachagua.

Majaji watatu Erick Ogola, Antony Mrima na Freda Mugambi, leo Jumatatu wanatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu kesi inayopinga kutimuliwa kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua. Hata hivyo, huku akisema ataheshimu uamuzi utakaotolewa na mahakama, kiongozi huyo wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), alidokeza kwamba atakata rufaa iwapo uamuzi huo utatolewa dhidi yake. Akizungumza…

Read More

Wakenya Waonywa Kuhusu Mzigo Mpya wa Ushuru na Deni

Wakenya wanakabiliwa na mzigo mkubwa zaidi wa kiuchumi iwapo mapendekezo ya bajeti ya mwaka wa kifedha 2026/27 yatapitishwa, kwa mujibu wa kiongozi wa Chama cha Democracy for the Citizens (DCP), Rigathi Gachagua. Akizungumza kuhusu bajeti ya shilingi trilioni 4.82 na Mswada wa Fedha 2026, Gachagua amesema hatua za kuongeza ushuru na kuendelea kukopa zitawaathiri zaidi…

Read More

Aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua adai kuwa wakati wa uongozi wake Rais Ruto alimuambia kuwa anataka kuwa tajiri zaidi kuliko watangulizi wake.

Kiongozi wa Chama cha Demokrasia kwa Raia (DCP) Rigathi Gachagua amedai kwamba Rais William Ruto mara moja alimtahadharisha kwamba anakusudia kukusanya utajiri zaidi ya baadhi ya familia tajiri zaidi nchini Kenya.  Kiongozi wa DCP, ambaye yupo Uingereza kwa ziara ya kisiasa, alidai kuwa wakati alikuwa bado akishiriki urafiki wa dhahabu na Rais, alisema kwamba anapanga…

Read More

Gachagua ataja mpango wa uagizaji mafuta kuwa “ulaghai”

Kiongozi wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameutaja mpango wa serikali kwa serikali (G-to-G) wa uagizaji mafuta kuwa “ulaghai”, akiishutumu serikali ya Rais William Ruto, pamoja na baadhi ya wafanyabiashara kwa kuwaumiza Wakenya kupitia ongezeko la bei ya mafuta. Akizungumza kabla ya kuondoka kuelekea United Kingdom, Gachagua alisema mzozo wa…

Read More

Daktari wa moyo Dkt. Gikonyo atetea Ripoti ya matibabu inayounga mkono Gachagua katika kesi ya kubanduliwa madarakani.

Daktari wa Moyo Daniel Kibuka Gikonyo amefika mbele ya mahakama kwa uchunguzi wa mashahidi baada ya kuwasilisha tamko la kiakili lililounga mkono Makamu wa Rais wa zamani Rigathi Gachagua katika changamoto ya kisheria inayoendelea juu ya mchakato wake wa kumpandisha daraja. Dk. Gikonyo alijitetea kuhusu tathmini yake ya kiafya ya Gachagua, akiambia mahakama kwamba, kwa…

Read More

Seneti yatilia shaka ushahidi wa matibabu wa Rigathi Gachagua

Seneti imeibua maswali kuhusu ushahidi wa matibabu uliowasilishwa na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua katika kesi ya kuondolewa kwake mamlakani. Kupitia kwa Karani wa Seneti Jeremiah Nyegenye, Seneti pamoja na Spika Amason Kingi wamehoji uhalali wa stakabadhi za hospitali zilizowasilishwa na daktari wa moyo Daniel Gikonyo. Seneti inasema kuwa rekodi hizo zina utata na hazikuwahi…

Read More