Skip to content

kariukicheg

Jaji Mkuu Martha Koome amesisitiza umuhimu wa uthabiti

Jaji Mkuu Martha Koome amesisitiza umuhimu wa uthabiti, maadili na misingi imara ya maisha, akieleza kuwa mafanikio yake yametokana na kuvumilia changamoto na kujifunza kupitia misukosuko ya maisha.Akizungumza katika kipindi cha She Means Business, Koome, alirejelea simulizi zilizomo kwenye kitabu chake Courting Courage, akibainisha kuwa safari yake imejengwa juu ya malezi yenye misingi ya nidhamu,…

Read More

Raia wa Kenya wanaoishi Afrika Kusini

Raia wa Kenya wanaoishi Afrika Kusini wametakiwa kuchukua tahadhari zaidi kufuatia maandamano yanayoripotiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo, yanayowalenga wageni.Ubalozi wa Kenya nchini humo umewasihi Wakenya kuepuka maeneo ya mikusanyiko ya maandamano, kubeba vitambulisho vyao muda wote, na kufuata maelekezo ya vyombo vya usalama.Aidha, wametakiwa kuripoti matukio yoyote ya dharura kwa mamlaka husika…

Read More