Mlipuko wa Ebola Waongezeka Mashariki mwa DRC
Kulingana na taarifa za hivi karibuni kutoka Africa Centres for Disease Control and Prevention, idadi ya watu waliofariki kutokana na mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika taifa la Democratic Republic of the Congo imeongezeka hadi watu 80, huku takribani visa 246 vikishukiwa kuripotiwa katika jimbo la Ituri mashariki mwa nchi hiyo. Maeneo yaliyoathirika zaidi…
