Mawaziri wa Museveni Waanza Mchakato wa Uhakiki
Mawaziri wapya walioteuliwa na Rais Yoweri Museveni wanatarajiwa kupitia mchakato wa uhakiki wa bunge kabla ya kuapishwa na kuanza rasmi kutekeleza majukumu yao serikalini. Mchakato huo utaanza Juni Mosi ambapo kamati za bunge zitawahoji na kutathmini mawaziri hao kwa muda wa siku mbili ili kubaini uwezo wao wa kuongoza wizara walizopangiwa. Baada ya zoezi hilo,…

