Sudan Kusini Na Makubaliano Ya Amani Ya 2018
Serikali ya Sudan Kusini imebadili msimamo wake na kuachana na mpango wa kuondoa vifungu muhimu kutoka kwa Makubaliano ya Amani ya mwaka 2018. Hatua hiyo imekuja baada ya shinikizo kutoka kwa mashirika ya kiraia na mabalozi mbalimbali wa kigeni, ambao walieleza wasiwasi wao kuhusu uwezekano wa kuyumba kwa mchakato wa amani na taasisi za mpito…
