Skip to content

ODM yaanza kujipanga upya kabla ya uchaguzi wa 2027

Chama cha Orange Democratic Movement, ODM, kimeanza mikakati ya ndani ya kujitathmini kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 huku kukionekana wasiwasi kuhusu hatima ya chama hicho bila Raila Odinga kuwania urais. Kupitia tangazo rasmi, ODM imewaalika wanachama wanaotaka kuwania nyadhifa mbalimbali kupitia tiketi ya chama hicho kuwasilisha maombi yao kabla ya mwezi Juni tarehe…

Read More