Kuccps yafungua upya awamu ya pili ya maombi ya vyuo vikuu
Shirika la KUCCPS limefungua tena awamu ya pili ya maombi ya kujiunga na vyuo vikuu kwa watahiniwa wa KCSE 2025. Wanafunzi sasa wana nafasi nyingine ya kubadilisha kozi walizochagua au kutuma maombi mapya. Kupitia taarifa iliyotolewa Mei 16, 2026, KUCCPS ilisema mfumo wa maombi utafunguliwa hadi Mei 22, 2026. Awamu ya kwanza ya maombi ilifungwa…
