WAIGURU ATETEA USHIRIKIANO WAKE NA RUTO

Anne Waiguru ametetea uamuzi wake wa kuendelea kumuunga mkono Rais William Ruto akisema ushirikiano huo unalenga kuhakikisha Kaunti ya Kirinyaga inanufaika zaidi kimaendeleo kutoka serikali kuu. Akizungumza mjini Wang’uru wakati wa uzinduzi wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa maji wa Mwea, Waiguru alisema hakuna serikali ya kaunti inayoweza kufanikisha miradi mikubwa bila kushirikiana na…

Read More

BAJETI YA ULINZI NA NIS YAONGEZWA KWA KIASI KIKUBWA

Wizara ya Ulinzi na Huduma ya Kitaifa kuhusu Ujasusi zimepangiwa zaidi ya Sh310 bilioni katika bajeti ya mwaka wa fedha 2026/27, kiwango kinachoweka sekta ya usalama kuwa miongoni mwa zinazopokea fedha nyingi zaidi nchini. Kwa mujibu wa makadirio yaliyowasilishwa bungeni, Wizara ya Ulinzi itapokea Sh250.02 bilioni huku NIS ikipewa Sh58.62 bilioni. Bajeti hiyo ni ya pili…

Read More

TAHADHARI MPYA YA MAFURIKO TANA RIVER

Gavan wa Tana River Dhadho Godhana pamoja na kamishna wa kaunti hiyo,Joseph Mwangi wametoa tahadhari kali kwa wakazi wanaoishi maeneo ya mabondeni na karibu na Mto Tana kuhama mara moja kuelekea maeneo ya juu kutokana na hatari ya mafuriko makubwa yanayotabiriwa katika siku na wiki zijazo. Onyo hilo linajiri huku kina cha maji ya mto…

Read More

TSC YAPIGWA DARUBINI KUHUSU MGAWO WA WALIMU

Tume ya Huduma kwa Walimu, TSC, imekosolewa na wadau wa elimu kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ukosefu wa usawa katika usambazaji wa walimu nchini. Katika kongamano la elimu mjini Naivasha, wadau walisema baadhi ya shule zina walimu wengi kupita kiasi huku nyingine zikiwa na uhaba mkubwa. Mwanachama wa Baraza la Chuo Kikuu cha Multimedia, Beatrice Tonui…

Read More