Wakulima mjini Garissa waomba msaada kutoka kwa serikali kuu kuhusiana na mafuriko.

Wakulima katika kaunti ya garissa wanaiomba serikali kuu kuingilia kati swala la mafuriko inayoathiri mimea yao mashambani kila mara. aidha wakulima hao wameisuta kampuni ya kengen pamoja na warma kwa kufungulia maji kutoka kwa mabwawa punde tu yanapojaa. itakumbukwa kuwa mashamba kutoka eneo la Mbalambala hadi Ijara yanatumika kwenye shughuli za ukulima,huku baadhi ya wakulima…

Read More

Maandamano mjini Garissa

Wahudumu wa matatu mjini Garissa hii leo wameweza kulemaza shughuli za usafri hii nibaada ya wahudumuhao kuungana na wenzao kote nchini kwenye mgomo wa vyombo vya usafri kutokana na ongezeko la bei ya mafuta.Aidha mapema asubuhi ya leo makumi ya wasafri mjini madogo walilazimika kutumiapikipiki kuendekazini huku weingine wakilazimikakutembeakwa miguuhadimjiniGarissa.Hata hivyo wahudumu hao wa gamama…

Read More

Maraga ahimiza Bunge kutekeleza vikao mara moja, akipendekeza mpango wa hatua tatu kupunguza bei ya mafuta

Jaji wa Mahakama Kuu wa zamani David Maraga ameonyesha mshikamano na Wakenya waliokumbwa na kufungwa kwa usafirishaji nchini kote na kuwaomba Bunge kukutana mara moja ili kuidhinisha kifurushi cha hatua ambazo anasema zingelinda umma kutokana na bei za juu za mafuta.  Alipendekeza hatua tatu za haraka: kuachilia bidhaa zote za mafuta kwenye VAT, kuondoa kwa…

Read More

Gachagua ataja mpango wa uagizaji mafuta kuwa “ulaghai”

Kiongozi wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameutaja mpango wa serikali kwa serikali (G-to-G) wa uagizaji mafuta kuwa “ulaghai”, akiishutumu serikali ya Rais William Ruto, pamoja na baadhi ya wafanyabiashara kwa kuwaumiza Wakenya kupitia ongezeko la bei ya mafuta. Akizungumza kabla ya kuondoka kuelekea United Kingdom, Gachagua alisema mzozo wa…

Read More