Hatua za dharura zimeimarishwa kukabiliana na ugonjwa wa Ebola nchini Kenya.
SSERIKALI ya Kenya imeimarisha hatua za dharura za kukabiliana na Ebola huku ikiweka timu za wataalamu wa afya katika hali ya tahadhari saa 24 kufuatia mlipuko wa ugonjwa huo katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda. Waziri wa Afya, Aden Duale, alisema serikali imeanzisha mfumo wa kitaifa wa usimamizi wa dharura kupitia…
