Wakulima mjini Garissa waomba msaada kutoka kwa serikali kuu kuhusiana na mafuriko.
Wakulima katika kaunti ya garissa wanaiomba serikali kuu kuingilia kati swala la mafuriko inayoathiri mimea yao mashambani kila mara. aidha wakulima hao wameisuta kampuni ya kengen pamoja na warma kwa kufungulia maji kutoka kwa mabwawa punde tu yanapojaa. itakumbukwa kuwa mashamba kutoka eneo la Mbalambala hadi Ijara yanatumika kwenye shughuli za ukulima,huku baadhi ya wakulima…
