Afisa Mkuu wa Nairobi Akamatwa na Mamilioni ya Fedha
Sakata kubwa limeibuka baada ya Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi, EACC, kumkamata Afisa Mkuu wa Mipango ya Miji wa Kaunti ya Nairobi, Patrick Analo Akivaga. Katika operesheni iliyofanyika nyumbani kwake Syokimau, maafisa wa EACC walidai kupata zaidi ya shilingi milioni 65 taslimu pamoja na nyaraka mbalimbali za mali, hati za ardhi, magari na…
