Binti Wangila

Former Chief Justice David Maraga Arrested During Nairobi Protest

Former Chief Justice David Maraga was among several individuals detained by police during a peaceful demonstration held in Nairobi to oppose a government-backed wildlife facility project near Nairobi National Park. The protest attracted hundreds of environmental activists, conservationists, and concerned citizens who argued that the proposed development could pose a threat to the park’s ecosystem…

Read More

Rais Ruto Aanza Ziara Ya Mataifa Ya Ulaya

Rais William Ruto ameondoka nchini kuelekea barani Ulaya kwa ziara rasmi inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya Kenya na mataifa ya Ulaya. Rais aliondoka Jumapili jioni kuelekea Ubelgiji, Norway na Finland. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu, ziara hiyo inalenga kushawishi uwekezaji zaidi nchini Kenya pamoja na kupanua masoko ya bidhaa za Kenya katika…

Read More

Kesi Ya Gachagua Yasubiri Uamuzi Wa Mahakama Leo

Macho ya Wakenya leo yanaelekezwa katika Mahakama Kuu ya Nairobi, ambapo uamuzi wa kesi inayopinga kuondolewa afisini kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua unatarajiwa kutolewa. Jopo la majaji watatu; Erick Ogola, Antony Mrima na Freda Mugambi, linatarajiwa kutoa uamuzi huo siku chache baada ya pande zote zinazohusika kukamilisha mawasilisho yao tarehe 22 mwezi uliopita. Uamuzi…

Read More