WHO Praises Uganda for Containing Ebola Outbreak

The World Health Organization (World Health Organization) has praised Uganda for its swift and effective response in controlling an Ebola outbreak that spread from the neighbouring Democratic Republic of Congo. Speaking in Kampala, WHO Director-General Tedros Adhanom Ghebreyesus commended Uganda’s health authorities for taking rapid action that helped limit the spread of the disease despite…

Read More

Ebola Afrika Mashariki

Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza, Musalia Mudavadi, amewataka Wakenya kufuata kikamilifu maelekezo ya Wizara ya Afya kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Amesema ingawa Kenya bado haijathibitisha kesi yoyote ya Ebola, wananchi wanapaswa kuwa makini na kuchukua tahadhari kama ilivyokuwa wakati wa COVID-19 ili kulinda taifa…

Read More

Zaidi ya watu Elfu kumi na tano (15,000) wameaga dunia kutokana na virusi vya Ebola.

Hatari kutoka mlipuko hatari wa Ebola ni kubwa katika Afrika ya Kati lakini bado ni ndogo kimataifa, Shirika la Afya Duniani jana Jumatano lilisema, likiongeza kuwa virusi hivo huenda vimekuwa vikienea kwa miezi kadhaa.  Mlipuko wa homa ya mapafu yenye kuambukiza sana ulitangazwa katika mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Ijumaa iliyopita.  Ebola imewaua…

Read More

Mlipuko wa Ebola Waongezeka Mashariki mwa DRC

Kulingana na taarifa za hivi karibuni kutoka Africa Centres for Disease Control and Prevention, idadi ya watu waliofariki kutokana na mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika taifa la Democratic Republic of the Congo imeongezeka hadi watu 80, huku takribani visa 246 vikishukiwa kuripotiwa katika jimbo la Ituri mashariki mwa nchi hiyo. Maeneo yaliyoathirika zaidi…

Read More