Kenya Yataka Mafunzo ya afya yawe na mtaala mmoja kupambana na wimbi la wataalamu kuhama nje ya nchi
Wizara ya Afya imetoa wito wa kuoanisha mitaala katika taasisi za mafunzo ya afya nchini huku ikisisitiza umuhimu wa kuimarisha uwekezaji wa pamoja ili kukabiliana na upungufu wa wahudumu wa afya unaochangiwa na wimbi la wataalamu kuhamia mataifa ya nje kutafuta ajira. Akizungumza siku ya Jumatano katika mazungumzo ya ngazi ya juu na Mkurugenzi wa…
