Martha Karua afananisha hali ya sasa ya uchumi na enzi za Moi
Kiongozi wa People’s Liberation Party, Martha Karua, ameilinganisha hali ya sasa ya uchumi nchini Kenya na changamoto zilizoshuhudiwa wakati wa utawala wa hayati Daniel arap Moi, akisema taifa bado limekwama katika mzunguko wa gharama kubwa ya maisha, utawala mbovu na matarajio yasiyotimizwa. Kupitia ujumbe wake kwenye mitandao ya kijamii, Karua alikumbuka hali ya mwezi Juni…
