Mahakama kutoa uamuzi leo dhidi ya kesi ya Gachagua.

Majaji watatu Erick Ogola, Antony Mrima na Freda Mugambi, leo Jumatatu wanatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu kesi inayopinga kutimuliwa kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua. Hata hivyo, huku akisema ataheshimu uamuzi utakaotolewa na mahakama, kiongozi huyo wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), alidokeza kwamba atakata rufaa iwapo uamuzi huo utatolewa dhidi yake. Akizungumza…

Read More

Wakenya Waonywa Kuhusu Mzigo Mpya wa Ushuru na Deni

Wakenya wanakabiliwa na mzigo mkubwa zaidi wa kiuchumi iwapo mapendekezo ya bajeti ya mwaka wa kifedha 2026/27 yatapitishwa, kwa mujibu wa kiongozi wa Chama cha Democracy for the Citizens (DCP), Rigathi Gachagua. Akizungumza kuhusu bajeti ya shilingi trilioni 4.82 na Mswada wa Fedha 2026, Gachagua amesema hatua za kuongeza ushuru na kuendelea kukopa zitawaathiri zaidi…

Read More

Afisa Mkuu wa Nairobi Akamatwa na Mamilioni ya Fedha

Sakata kubwa limeibuka baada ya Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi, EACC, kumkamata Afisa Mkuu wa Mipango ya Miji wa Kaunti ya Nairobi, Patrick Analo Akivaga. Katika operesheni iliyofanyika nyumbani kwake Syokimau, maafisa wa EACC walidai kupata zaidi ya shilingi milioni 65 taslimu pamoja na nyaraka mbalimbali za mali, hati za ardhi, magari na…

Read More

Rais William Ruto atetea uamuzi wake wa kueka kituo cha wagonjwa wa Ebola humu nchini.

Rais William Ruto ametetea uamuzi wake wa kuruhusu Marekani kujenga kituo cha Ebola huko Laikipia, akisema kuwa itakuwa “unyama” na kutowajibika kukataa ombi lililofadhiliwa na Amerika la kusaidia kudhibiti vitisho vya afya na milipuko ya magonjwa. Akizungumza katika ziara ya kitaifa nchini Afrika Kusini, Rais alisema serikali ya Marekani imetoa mabilioni ya fedha kusaidia miundombinu…

Read More

Kenya na Urusi zajizatiti kuimarisha ushirikiano katika sekta mbali mbali.

Kenya na Urusi zinajizatiti kuimarisha ushirikiano baina yao katika sekta za elimu, biashara, nishati na utamaduni, huku uhusiano wa nchi hizi mbili ukiendelea kuimarika. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya kitaifa ya Urusi Jijini Nairobi, balozi wa Urusi nchini Kenya Vsevolod Tkachenko, alisema nchi hizi mbili zimepiga hatua ya kumezewa mate katika siasa, uchumi…

Read More