SHA Yajivunia Usajili wa Milioni 31.5

Zaidi ya Wakenya milioni 31.5 wamejisajili chini ya Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), huku serikali ikisisitiza kuwa mpango huo unaendelea kupanua upatikanaji wa huduma za afya nchini. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Madaraka katika Kaunti ya Wajir, Rais William Ruto alisema kati ya waliojisajili, zaidi ya watu 800,000 wanatoka katika kaunti za…

Read More

Wakulima mjini Garissa waomba msaada kutoka kwa serikali kuu kuhusiana na mafuriko.

Wakulima katika kaunti ya garissa wanaiomba serikali kuu kuingilia kati swala la mafuriko inayoathiri mimea yao mashambani kila mara. aidha wakulima hao wameisuta kampuni ya kengen pamoja na warma kwa kufungulia maji kutoka kwa mabwawa punde tu yanapojaa. itakumbukwa kuwa mashamba kutoka eneo la Mbalambala hadi Ijara yanatumika kwenye shughuli za ukulima,huku baadhi ya wakulima…

Read More